bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
kitunda kuna foleni ya hovyo sana kutokea airport pale njia mbili zina-converge mpaka banana. unaweza kutumia dakika 10 kutoka tazara ukishavuka taa mpaka kufika hiyo sehemu...umbali wa kama km 5 au 6 hivi na pale penye kama km1 au 1.5 ukatumia dakika 30...
na hizi facilities ni pamoja na kuomba ofisi nilikoajiriwa ihamie home au??????
yap!!! pamoja na huduma za afya benki, elimu na kadhalika!!!
unawatumia kazi zao kwa email tu (sasa kama kazi yako inauhitaji uwepo wako mie simo)