Nijuzeni tofauti kati ya IT(information technology) na computer science

Computer Science is a systematic and logical approach to discovering how things in the computer and its contents work.
IT(Information Technology) is the application/Use of computers to store, retrieve, transmit and manipulate data, or information

Kimsingi ni kwamba CS imejikita zaidi katika kufahamu Utaratibu na Namna ya computer inavyofanya kazi na viambata vyake.
While IT imejikita katika matumizi ya hiyo computer yenyewe (Matumizi ya mifumo(systems) kwenye kuhifadhi na Kuchakata taarifa, hii inaweza kuwa kwenye maeneo tofauti.

NOTE: Kwa huko Tanzania, Computer Science huwa haifundishwi kwa viwango vitakavyowawezesha wahitimu kuwa na Uwezo wa ku-deliver uelewa wao, sababu kubwa ni kwamba Computer science lengo lake ni kusoma utaratibu na tabia za computer hii huwa inahitaji maabara zinazijitosheleza of which kwa TZ sijaona labda kama ipo siku izi. Ila IT lengo lake liko kwenye Habari na Mawasiliano of which resource za kufanikish adhma yake zinapatikana.

Kwa nchi kama Marekani/India LAB ya CS na IT ni tofauti kabisa kwenye resource zilizoko Lab ila kwa TZ niliona hakuna tofauti kwenye LAB na practise, ila kwenye Content za theory ndio utaona Tofauti.

Simply ni kwamba ukisoma Computer science kwa Tanzania utkuwa na nadharia nyingi kuliko vitendo ijapo kuwa kama ukiwa na jitihada binafsi utaipata hiyo inayoitwa IT ijapokuwa ulichagua CS.

Kama uko Home, soma tu IT ila hakikisha unaweka jitihada binafsi kwenye vitendo na jitahidi uwe mbunifu. IT wengi africa sio wabunifu. Huu ni ulimwengu wa Teknolojia ya Habari na mawasiliano ukiwaza kwa kona hiyo utatoboa.
 
habari za siku mkuu,naomba kujuzwa inawezekana mtu kusoma bachelor ya computer engineering kwa cheti cha diploma ya IT
Inafaa mkuu!! itategemea pia na ufaulu wako ngazi ya diploma!!

Pia kuna kozi pia inaitwa software engineering iko njema sana pia japo haigusi sana hardware ya pc kama computer engineering!
 
Inafaa mkuu!! itategemea pia na ufaulu wako ngazi ya diploma!!

Pia kuna kozi pia inaitwa software engineering iko njema sana pia japo haigusi sana hardware ya pc kama computer engineering!
Computer engineering sio hardware za pc, it the total hardware of electronics + programming
 
wadau naombeni mnipe msaada kuwa mimi nmesoma masomo ya arts naweza nikasoma certificates ya information technology ikiwa mathe nina alama D wana kikundi naombeni msaada kutoka kwenu
 
wadau naombeni mnipe msaada kuwa mimi nmesoma masomo ya arts naweza nikasoma certificates ya information technology ikiwa mathe nina alama D wana kikundi naombeni msaada kutoka kwenu
Unasoma bila shida yoyote
 
Km kitu gani mkuu anachosoma wa comp science ambacho IT hakipigi.
Dogo IT Imo ndani ya computer science.
Computer science Ina wigo mpana wa kusoma mambo mengi ambapo mtu wa IT hasomi.
Dogo ni sawa na mtu anaesoma BAM na mwingine Advanced Mathematics ukasema wote wamesoma mathematics.
IT is like BAM while computer science is Advanced mathematics.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
asante mkuu, ivi zote unapiga programming?

Sent using Jamii Forums mobile app
Zote zina programming isipokuwa kwenye IT programming ni kwauchache ingawa inategemea na chuo hata hivyo programming hiyo aifikii ya kwenye C.S.
Ukitaka programming nenda C.S au SOFTWARE ENGINEERING huko codes na math ndio mahali pake wapoti.
 
wadau naombeni mnipe msaada kuwa mimi nmesoma masomo ya arts naweza nikasoma certificates ya information technology ikiwa mathe nina alama D wana kikundi naombeni msaada kutoka kwenu
Karibu Fulgent Careers, washauri wa masuala ya elimu na ajira ndani na nje ya nchi. Huduma ya ushauri wa kozi na vyuo unatolewa kwa gharama ya Tsh 10,000 tu.0769 524 022
 
Kwa tanzania soma IT .kwani hakuna computer science hapa nikupoteza muda tu. Ila IT ipo sana maana hapa tanzania tuna -information science basi hakuna computer science
Unalisha sana watu matangopori! Nawe upo sekta hii?
 
Kwa tanzania soma IT .kwani hakuna computer science hapa nikupoteza muda tu. Ila IT ipo sana maana hapa tanzania tuna -information science basi hakuna computer science
KLMY hapa umeandika nini mkuu?
 
Back
Top Bottom