IT au information technology inadeal na watu, software, hardware na kusaidia biashara..
Ndani ya IT kuna computer science, information systems, information science, library systems, computer systems etc..
Computer science msingi mkubwa ni hesabu na high level programming kama Java, C#, python na wengine. Kuelewa zaidi about tatizo, huwa anatumia UML diagrams etc..
Computer systems inakuwa inagusa programming, electronics kidogo na hesabu za logic..
Information systems inakuwa ni programming za C#, Vb lakini kikubwa ni kujua biashara inakuwa assessed vipi kutumia system analysis and design..
Information science huwa inakuwa linked na library. Hawa wanajifunza programming kujua basics ila tegemeo kubwa ni graphics na storing of metadata..
Baada ya minor analysis hiyo, software engineering mara zote ni course kama database, website designing etc.. kikubwa kwenye software engineering ni kujifunza kunyambua system ili a programmer, database analyst, network specialist, etc waweze kukamilisha na submit a working system.. software engineering kwa computer science ni sawa na system analysis and design kwa mtu wa information systems..
Kama una passion ya programming (wachache sana huwa nayo) nenda computer engineering, minor iwe masomo ya information systems..
Kuhusu chuo, nimeona watu wa vyuo vya tech wazuri kwenye programming na networking ila wanasumbuka kuelewa theory.. vice versa inaaply vyuo vya kawaida..
jiweke karibu na watu wa biashara na siku zote waza, what can I do kuwasaidia with a system??
*don't mind typo, kikubwa ujumbe umefika*
Sent using
Jamii Forums mobile app