Nenda Information Technology utakuja kunishukuru huko mbeleni ukikosa ajira za serikali@Naomba ushauri nimechaguliwa chuo cha CBE kozi ya information technology IT na chuo cha TIA kozi ya accountamcy nichague kozi gani yenye soko kubwa la ajila
Accountancy TIANaomba ushauri nimechaguliwa chuo cha CBE kozi ya information technology IT na chuo cha TIA kozi ya accountamcy nichague kozi gani yenye soko kubwa la ajila
Siku hizi hawa wakuitwa wasomi ndio kwanza hawajui kuandika vizuriHipi
Ajila
Afu tutegemee Tanzania kukua kiuchumi
Chukua hiyoUngechagua IT with Accountancy. IFM wanatoa hiyo course..
Kwa hapo zote ziko njema.
Acha uongo.Account imekufa hizo kazi za uhasibu hazipo zinafanywa na system
IT ni nzuri zaidi ila kama hauna mawazo ya kuajiriwa pekee unaweza kujiajiri maana huduma za IT zinahitajika Kila sehemu siku hizi. Cha msingi soma kwa malengo na ujifunze vitu vingi ukiwa Bado chuo and make sure GPA Yako sio chini ya 3.5!!Naomba ushauri nimechaguliwa chuo cha CBE kozi ya information technology IT na chuo cha TIA kozi ya accountamcy nichague kozi gani yenye soko kubwa la ajila
Naomba ushauri nimechaguliwa chuo cha CBE kozi ya information technology IT na chuo cha TIA kozi ya accountamcy nichague kozi gani yenye soko kubwa la ajila
KWA KOMENTI HII,IT ni nzuri zaidi ila kama hauna mawazo ya kuajiriwa pekee unaweza kujiajiri maana huduma za IT zinahitajika Kila sehemu siku hizi. Cha msingi soma kwa malengo na ujifunze vitu vingi ukiwa Bado chuo and make sure GPA Yako sio chini ya 3.5!!
Kwa Kuwa hujui ni ipi inakufaa, kusoma IT utapoteza muda. Sababu hauko interested nayo.Naomba ushauri nimechaguliwa chuo cha CBE kozi ya information technology IT na chuo cha TIA kozi ya accountamcy nichague kozi gani yenye soko kubwa la ajila