Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,939
- 4,122
Wakati mawakili wa serikali wakiendelea kunyeshewa mvua ya mawe mahakani kwa mkataba tata wa bandari zetu, shauku yetu kama watanzania na wafia nchi, ningependa kusikia hili la ufujaji wa mapesa yetu walipa kodi
Huyu mkulima aliyetangaza kuwafikisha mahakamani mawaziri kadhaa wa serikali kwa ubadhirifu wa matrilion ya kodi za watanzania iliishia wapi?
Alibinywa pumba ama imekuwaje? Alihongwa ili aondoe jalada la kesi hiyo mahamani?
Kwa sasa ingekuwa huku kuna DPWORD iliyoletwa kimagumashi na wananchi, na huku ni mkulima na kina Nchema na wenzake
Mnaofahamu hii kesi ya mkulima na mawaziri mtusaidie kujua imefikia wapi
Huyu mkulima aliyetangaza kuwafikisha mahakamani mawaziri kadhaa wa serikali kwa ubadhirifu wa matrilion ya kodi za watanzania iliishia wapi?
Alibinywa pumba ama imekuwaje? Alihongwa ili aondoe jalada la kesi hiyo mahamani?
Kwa sasa ingekuwa huku kuna DPWORD iliyoletwa kimagumashi na wananchi, na huku ni mkulima na kina Nchema na wenzake
Mnaofahamu hii kesi ya mkulima na mawaziri mtusaidie kujua imefikia wapi