Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,906
- 2,783
mtu wa kawaida hawezi andika hivi. kuna tatizo hapo
Tafadhari rejea kwenye red and bolded above!!'..............................
Basi wakati huo nahisi kichwa ni kizito na chenye uwezo mdogo wa kufikiri ingawa uwezo wa kuelewa masomo upo. Nikarudi nyumbani kufundisha tempo. Nikafikia mwisho wa kufundisha ila sikuendelea na masomo chuo kwa kuwa nilikuwa nimeshaharibwa seheemu kubwa ya mwili.
Nikaanza kujipumzisha kila siku. Na kukata tamaa. Basi nikakaa nyumbani siku hiyo ndio nikaanza kusikia sauti ikiniogelesha. Mimi sijawahi kujua sauti hii ni kwanini ilikuwa ikinielekeza kufanya dhambi na kupenda nifikirie mabaya."
Siku ya siku ikafika. Nikaamka asubuhi nikaenda kumtembelea mtoto wa mjomba wangu akiwa dukani kwa baba yake. Baada ya kuondoka na kurudi nyumbani nikiwa njiani. Sauti ikaniambia umesikika ulipowaza. Kuna kitu niliwaza. Nikakasirika na kuwahi nyumbani na kutupa kitabu cha dini chooni. Nilichukia sana kuambiwa nasikika nikiwaza.
.............
Kufa tu maana hamna namna
Kama The Boss alivosema, kuhisi unaongea na mtu ni hatari kwako.
Hayo ni magonjwa ya akili hakuna jipya, utapona.
those are hallucinations.... mostly seen in psychiatry patients.. nenda hospitali upewe dawa
Huyu Yesu yuko wapi na mimi nikaonane naye maana namsikiaga tu....Nimekusoma na kugundua kuwa,wewe hapo ulipo unaugonjwa wa akili,umekuwa mtumwa wa hizo sauti na una majini(mapepo)ndani yako.Mapepo yamekugeuza kuwa taahira.Fanya haraka kuonana na YESU akuponye.
Sikufich mkuu hata mm cjaelewa kitu
Yani Ni Kwamba Alikwa Mwislamu(Tamsya) Akaamua Kugombea Uongozi Wa Dini, Alivyoshindwa Akaona Bora Awe Mlokole Sasa Akatupa Ktabu Cha Dini Chooni, Ndipo Alipoanza Kuwehuka Huyu, Kwakweli Tunatakiwa Kumsaidia Sana Kwani Anataka Kujiua Ili Aepukane Na Huo Uwehu (sauti Aisikiayo).