Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,795
Iweje wakristo wabadili Quran marekani na kuipunguza sura zake ili ziendane na kanuni zake ndio useme mimi mwenye kusema nimehifadhi juzuu kadhaa kimakosa. Je yule aliyekojolea Qurran Dar es salaam.
Donald Trump kusema atawatoa waislam Amerika na ya watu kuua albino kwa ushirikina sio mambo makubwa.?
Yamenikuta Yamenikuta Yamenikuta Kijana mwenzio.
Kwa mpandiano wa CD namna hii..........wewe karibia unakuwa plate number mpya.........hebu wahi hospital fasta kabla hujafikia kipengele cha dozi kubwa..............