Niitieni watu wa imani wanishauri hapa

Niitieni watu wa imani wanishauri hapa

Mzurulaji

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2021
Posts
292
Reaction score
691
Habari zenu me nikijana mwenzeni nina umri wa miaka 25 nimetaja miaka ili mtu anaponishauri haitompa ugumu katika kutoa ushauri.

Nina hali ambayo inanisumbua kwa upande wangu ni jambo kubwa na nahitaji ushauri.

Binafsi ninaye mpenzi wangu tayari ambaye kwasasa ni mchumba wangu sababu pande zote za wazazi tushatambulishana na kuvishana pete, najua kidini tunakusoea kukutana kabla ya ndoa ila binafsi hajawahi kataa kunipa pale napohitaji.

Kuna hali ambayo kwangu si nzuri kwa week za hivi karibu nimekuwa nikitamani sana wanawake sana yani kupita kiasi, mwingine anaweza sema ni hali ya kawaida ila me binafsi nitakataa sababu imekuwa too much. Kiasi cha kunitisha

Kuna muda ninaweza kuwa na mtu wangu tumetoka kukutana kimwili nikishaingia tu mtaana kusaka chochote kitu mwanamke yoyote nitakayemtia machoni mwangu nitatamani kukutana naye kimwili kitu ambacho naona si sawa, sometimes naelewa sifa ya mwanaume ni kutamani, mwanamke mzuri ila wadau hata wanawake wasiovutia natamani kukutana nao kimwili, nipo kwaajili ya kujifunza kutokana na mawazo yenu au ushauri tafadhali dhihaka haitonijenga nipo hapa kwaajili ya ushauri kwa mtu yoyote aliowahi kukutana na hali kama hii naomba anishauri naomba sana sana maana inanitesa sana.
 
Kwanza lekebisha kiswahili yako ni mbovu. Anyway kinachokusumbua ni roho chafu za uzinzi. Huenda kabla ya kumpata huyo mwanamke ulikuwa na tabia ya kupitapita na wanawake hovyo, na kama hukuwa nayo basi huyo demu wako ndiye amekulete hizo roho chafu. Kiufupi umechafuliwa, umepewa nyota ya ukimwi na kuwahishwa mbinguni haraka. Hata kama ukiwa ni msafi kiasi gani, ukilala tu na mtu mwenye roho chafu huchukua yako safi na kukuachia yake chafu. Dawa si kwenda kwa mganga wala mafuta ya mwamposa, bali dawa ni hii. Kwa kulala na mwanamke 1 mwenye roho chafu, itakupasa kulala tena na wanawake 100 wasafi ili kukutakasa. Hapa nazungumzia wanawake bikira au wale wagumu kutoa kitumbua. Ukimtongoza leo atakuzungusha hata miezi 10. So hadi utimize idadi ya wanawake 100, itakuchukua miaaka mingi utakuwa umefikisha angalau miaka 60 au 71 kwisha habari yako.
 
Habari zenu me nikijana mwenzeni nina umri wa miaka 25 nimetaja miaka ili mtu anaponishauri haitompa ugumu katika kutoa ushauri.

Nina hali ambayo inanisumbua kwa upande wangu ni jambo kubwa na nahitaji ushauri.

Binafsi ninaye mpenzi wangu tayari ambaye kwasasa ni mchumba wangu sababu pande zote za wazazi tushatambulishana na kuvishana pete, najua kidini tunakusoea kukutana kabla ya ndoa ila binafsi hajawahi kataa kunipa pale napohitaji.

Kuna hali ambayo kwangu si nzuri kwa week za hivi karibu nimekuwa nikitamani sana wanawake sana yani kupita kiasi, mwingine anaweza sema ni hali ya kawaida ila me binafsi nitakataa sababu imekuwa too much. Kiasi cha kunitisha

Kuna muda ninaweza kuwa na mtu wangu tumetoka kukutana kimwili nikishaingia tu mtaana kusaka chochote kitu mwanamke yoyote nitakayemtia machoni mwangu nitatamani kukutana naye kimwili kitu ambacho naona si sawa, sometimes naelewa sifa ya mwanaume ni kutamani, mwanamke mzuri ila wadau hata wanawake wasiovutia natamani kukutana nao kimwili, nipo kwaajili ya kujifunza kutokana na mawazo yenu au ushauri tafadhali dhihaka haitonijenga nipo hapa kwaajili ya ushauri kwa mtu yoyote aliowahi kukutana na hali kama hii naomba anishauri naomba sana sana maana inanitesa sana.
Mzurulaji hapa kuna mambo mawili
1. Mshukuru Mungu kwa hilo.. Maana inaelekea una afya njema na huna msongo wowote wa mawazo! Kiuhalisia katika umri ulionao hilo si jambo la ajabu kabisa japo linahitaji control kubwa sana. Kwakuwa linaweza kukuingiza pabaya
Umakinike nalo sana kwakuwa unaelekea kuingia kwenye ndoa takatifu, maana hiyo hali inaweza kujitokeza maeadufu na kupelekea kukamatwa na mkeo! Imagine nini kitatokea

2. Mtazamo wa kiroho
Si jambo jema kabisa kwakuwa kwenye kulowekaloweka umekutana na pepo la ngono bila kujua na ndilo linalokutesa sasa

Pepo la ngono lisikie hivi hivi
Unaweza kutoka kupiga kwa mkeo ukienda chooni ukakutana na jirani unataka ama shemeji yako ama mama mkwe nk
Kuna wakati unaweza kuloweka hata mara 3 kwa siku kwa watu tofauti tofauti
Madhara yake ni magonjwa ya kimwili na ya kiroho.. Kwenye kilele cha hili unakuwa sasa majanaba yaani hata kabla hujaamua kutamani tayari ngoma iko kati
 
Kwanza lekebisha kiswahili yako ni mbovu. Anyway kinachokusumbua ni roho chafu za uzinzi. Huenda kabla ya kumpata huyo mwanamke ulikuwa na tabia ya kupitapita na wanawake hovyo, na kama hukuwa nayo basi huyo demu wako ndiye amekulete hizo roho chafu. Kiufupi umechafuliwa, umepewa nyota ya ukimwi na kuwahishwa mbinguni haraka. Hata kama ukiwa ni msafi kiasi gani, ukilala tu na mtu mwenye roho chafu huchukua yako safi na kukuachia yake chafu. Dawa si kwenda kwa mganga wala mafuta ya mwamposa, bali dawa ni hii. Kwa kulala na mwanamke 1 mwenye roho chafu, itakupasa kulala tena na wanawake 100 wasafi ili kukutakasa. Hapa nazungumzia wanawake bikira au wale wagumu kutoa kitumbua. Ukimtongoza leo atakuzungusha hata miezi 10. So hadi utimize idadi ya wanawake 100, itakuchukua miaaka mingi utakuwa umefikisha angalau miaka 60 au 71 kwisha habari yako.
Aisee
 
Mzurulaji hapa kuna mambo mawili
1. Mshukuru Mungu kwa hilo.. Maana inaelekea una afya njema na huna msongo wowote wa mawazo! Kiuhalisia katika umri ulionao hilo si jambo la ajabu kabisa japo linahitaji control kubwa sana. Kwakuwa linaweza kukuingiza pabaya
Umakinike nalo sana kwakuwa unaelekea kuingia kwenye ndoa takatifu, maana hiyo hali inaweza kujitokeza maeadufu na kupelekea kukamatwa na mkeo! Imagine nini kitatokea

2. Mtazamo wa kiroho
Si jambo jema kabisa kwakuwa kwenye kulowekaloweka umekutana na pepo la ngono bila kujua na ndilo linalokutesa sasa

Pepo la ngono lisikie hivi hivi
Unaweza kutoka kupiga kwa mkeo ukienda chooni ukakutana na jirani unataka ama shemeji yako ama mama mkwe nk
Kuna wakati unaweza kuloweka hata mara 3 kwa siku kwa watu tofauti tofauti
Madhara yake ni magonjwa ya kimwili na ya kiroho.. Kwenye kilele cha hili unakuwa sasa majanaba yaani hata kabla hujaamua kutamani tayari ngoma iko katiView attachment 3518486
Ahsante sana Mshana nilisubiri comment yako kwa hamu na nimeelewa vyema kabisa.
 
Back
Top Bottom