Nihamie wapi kati ya Arusha na Mbeya?

Mwanangu Arusha hakuna huo ukabila na ukanda unaousema kabisa, kumbuka hili ni jiji lenye interaction na mataifa mbali mbali sana sasa huo ukabila unatoka wapi
 
Why mbeya mkuu nisaidie kwanini mbeya n not arusha..!
Mbeya fursa ni nyingi, maisha ya chini sana, kuanzia nyumba za kupanga hadi vyakula viko chini na vinapatikana kwa wingi.

Unaweza kuwekeza hata shambani, kuanzia Mbeya, Songwe hadi Rukwa kuna fursa kibao za kilimo na mashamba bei ya Kawaida tu.

Kwa mjini nakushauri Mbeya mjini ama Tunduma.... Tunduma pako poa zaidi mzunguko wa hela upo kifupi huwezi kulala na njaa labda uwe mzembe tu....

Arusha kunafaa kwenda kutumia pesa sio kutafuta pesa.
 
500k usisogee Arusha joooh.Baki tuu huko huko kwengine au Nenda Namanyere kabisa.
Mkuu mimi siyo wa mchezomchezo baba yangu kapiga WW2 hivyo hii damu siyo ya mchezo, ni mseminari nimefunzwa uvumilivu ni mtiifu zaidi ya watu wasiyojulikana, mpianaji pia...!

Dsm naona kunanicheleweshea kufikia my dream..
 
Hilo inategemea channel zako za pesa au biashara ndizo zitakazo amua. Unaweza kukuta unatakiwa kwenda Ntwara au Katavi kwa ntoto wa nkulima. Maisha ni popote
Mimj mjanja mjanja hii mikoa iliyozubaa hainifai sana..!
 
Mwanangu Arusha hakuna huo ukabila na ukanda unaousema kabisa, kumbuka hili ni jiji lenye interaction na mataifa mbali mbali sana sasa huo ukabila unatoka wapi
upo ukabila mwingi tu usikatae.
 
Arusha ipo vizuri katika mzunguko wa fedha kuliko Mbeya mbali sana na kufanikiwa Arusha ukipata mzunguko ni rahisi zaidi kuliko mbeya...urahisi wa mbeya ni chakula tuu..Mimi nimezaliwa na kukulia mbeya nilipotoka Nje niliishi Dar baadae nikaamia Arusha biashara na maisha wala sijutii kabisa...
 
Kwa hili ni kweli kabisa..
 
Mwaka huu tumepokea watalii 1472000 lakini watalii 976000 walifika Arusha peke yake na hao wengine walifika Arusha wakaenda mikoa mingine pia alafu mtu akuambia uende Mbeya eti ukauze mchele na wewe ni graduant sababu ya kuogopa maisha cheza na fursa mwanangu
 
Mkuu mimi siyo wa mchezomchezo baba yangu kapiga WW2 hivyo hii damu siyo ya mchezo, ni mseminari nimefunzwa uvumilivu ni mtiifu zaidi ya watu wasiyojulikana, mpianaji pia...!

Dsm naona kunanicheleweshea kufikia my dream..
Okay dude...you are warmly welcome at Arusha.Talking about ex seminarians i know absolutely what the hell are you talking about.As a man and according to what you said about you therein above the city is applauding for you.Welcome lets keep on rolling the ball.
 
Mmhh! Ya ukweli haya??
 
Mwanangu Arusha hakuna huo ukabila na ukanda unaousema kabisa, kumbuka hili ni jiji lenye interaction na mataifa mbali mbali sana sasa huo ukabila unatoka wapi
Ata ukiwepo kawaida ni changamoto ndogo hizo...!
 
Kiukweli mbeya kunashawishi kifursa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…