nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Nairobi au Harare; those days Harare ilikuwa inaonekana kama New York ya Afrika.
we unasema enzi nyerere watu walikuwa wanatongoza wasichana kwa kusema wametoka Nairobi?????
hadi leo lakini kuna baadhi ya vicheche ukisema we mzambia wanababaika sijui why?