Sasa kama makundi ya kigaid yanafantiana Ambushi na kambi zao zinajulikana selikali ya nigeria na jeshi lake yenyewe inakwama wapi kuwapiga msako na Ambush hawo magaid kwenye camp zao?
Au ndo akiri kumkichwa?
Sent using
Jamii Forums mobile app
Hata mimi huwa sielewi kwamba hawa watu wapo ndani ya nchi husika kuna jeshi, usalama, polisi, magereza, mgambo, wananchi watiifu, vifaru,mawasiliano kila kitu sasa kwa nini washindwe kufanya msako wa nguvu pori kwa pori, nyumba kwa nyumba, mlima kwa mlima, bonde kwa bonde, mto kwa mto, msikiti kwa msikiti na kanisa kwa kanisa mpaka kieleweke fagia wote weka masaa ya 24 ya hatari kwa miez yote 12
Kuna kipindi waliwateka sijui watoto karibia 300 wasichana kwa wavulana huku wakiwabaka kwa kweli kama ni kweli roho ilinichafuka sana nikawa najiuliza hakuna vyombo vya ulinzi huko?
Eti wanadai nigeria wana jeshi zuri kwa africa sasa kwa nini washindwe kukamaliza kakikundi kama hicho hakuna jeshi huko wapumbafu tu majigambo yanawasumbua
Nchi nyingi za africa wana majeshi ya kulinda viongozi tu kwenye mission hakuna kitu sasa huyo mkuu wa majeshi analala,kula na kunya bila wasiwasi wowote wakati ndani ya nchi kuna kikundi cha waasi kweli inaingia akilini
Wangelikuwa ndio JWTZ kwa kweli wangekuwa wanacheka na ndugu zao
Juzi wanamwonyesha Rais Buhari na baadhi ya maraisi wa africa wengine wanatoka east africa wanajadili sijui uwekezaji sijui ujinga gani yanacheka cheka kama mafala. Mikutano ya kujikomba komba hawaachi kwenda kwa nini wasiifanye hiyo mikutano ndani ya africa kwanza
Pongezi kwa Raisi wetu kutohudhuria mikutano ya mabeberu isiyoeleweka
Sent using
Jamii Forums mobile app