Nifurahi au Nisikitike?

Ni miaka kadhaa kimeoa lakini sina mtoto. Kwa 'bahati mbaya' nyumba ndogo amepata mimba yangu. Siku-intend kuzaa nje ya ndoa. On one hand najua nitaitwa baba muda sio mrefu. But on the other hand naona kama ndio matatizo yameanza katika ndoa yangu. Nifurahi au nisikitike?
Nakushauri mtoto akizaliwa tu ukapime DNA ili kujua kama unalea vyako ama vya wenzio. Usije ukawa konda ama mpiga debe wakati basi lina mwenyewe
 
Mwendawzimu.....una uhakika kua hiyo mimba wewe ndio msababishi?????
Ni miaka kadhaa kimeoa lakini sina mtoto. Kwa 'bahati mbaya' nyumba ndogo amepata mimba yangu. Siku-intend kuzaa nje ya ndoa. On one hand najua nitaitwa baba muda sio mrefu. But on the other hand naona kama ndio matatizo yameanza katika ndoa yangu. Nifurahi au nisikitike?
 
Wanaume wa kiafrika ndoa ya bila mtoto sijui wanaona vipi. Nina rafki yangu toka SriLanka ameolewa na Mduch, hawana mtoto na hawana tatizo lolote. Anasema mumewe hataki watoto kwani wapo watoto kibao wenye shida kwa hiyo wanasubili wife amalize shule wa adopt. Hao wana uwezo wa kuzaa lakini kimtazamo wao mtoto si lazima umzae waweza kulea wale wasio na walezi. Laiti familia zenye matatizo ya uzazi zingefanya kama hawa ndugu, kuliko kuleta mawazo kwa wake zao na kuhatarisha maisha yao.

Kimada ni obvious akijua mkeo hazai lazima ajilengeshe au hata akubambikie mimba. Na am sure hataweza kumheshimu mkeo kwani atamuona mgumba yeye ndio kila kitu kwa kuwa kazaa. Na mindugu ya kiafrika navyoijua ndio mama we; huyo ndio atakuwa mkwe rasmi; kaleta mtoto!
 
Ni miaka kadhaa kimeoa lakini sina mtoto. Kwa 'bahati mbaya' nyumba ndogo amepata mimba yangu. Siku-intend kuzaa nje ya ndoa. On one hand najua nitaitwa baba muda sio mrefu. But on the other hand naona kama ndio matatizo yameanza katika ndoa yangu. Nifurahi au nisikitike?
Usikitike kwa sababu umemcheat mkeo haijalishi anauwezo wa kuzaa au la, what goes around comes around utashangaa mtoto atakaezaliwa has a diferent race from u parents, i mean mhind mchina mzungu mwarabu or any other
 
Back
Top Bottom