Pia nina ushhuhuda kama huu, tatizo watu wana haraka na kama unampenda na kumheshimi mngeweza hata kusave mkaenda kupandikiza huko hospital tena siku hizi hata sio mbali nairobi tu haponina ndugu yangu walikaa miaka 9 bila watoto Mungu akawajalia wakapata mtoto ndani ya miaka kumi ya ndoa........sijui ndoa yako ni ya umri gani..........unapooa/olewa kuna kupata watoto au la.......kumbuka pia watoto ni baraka kutoka kwa Mungu....mnatakiwa kupata vipimo nakujua tatizo liko wapi kati yenu............kuhusu mtoto unayemsubiri atahitaji ushiriki wakoo wa karibu katika kumlea..... kujua wako au sio wako wajua wenyewe....utahitaji kumshirikisha mkeo mapema ndipo utakapojua utafurahi au utalia. Pole mkuu
MMh! wife siku hizi umekuwa mkunga?Pia nina ushhuhuda kama huu, tatizo watu wana haraka na kama unampenda na kumheshimi mngeweza hata kusave mkaenda kupandikiza huko hospital tena siku hizi hata sio mbali nairobi tu hapo
just like ur ID,jina laweza kuwa baraka au laana jina la ajabu ndo maana unajaribu kujustify dhambi.wht kind of man r you? U do smthng stupit then u come out na kuuliza ufurahi au usikitike! I cant believe ths shit......!Ni miaka kadhaa kimeoa lakini sina mtoto. Kwa 'bahati mbaya' nyumba ndogo amepata mimba yangu. Siku-intend kuzaa nje ya ndoa. On one hand najua nitaitwa baba muda sio mrefu. But on the other hand naona kama ndio matatizo yameanza katika ndoa yangu. Nifurahi au nisikitike?
kwani hujui kama mie ni mkunga na nyakanga, usichakachue thread ya watu bado mapema swtMMh! wife siku hizi umekuwa mkunga?
Neno nyakanga limenikumbusha somo la kiswahili darasa la saba miaka ya tisiniiii?kwani hujui kama mie ni mkunga na nyakanga, usichakachue thread ya watu bado mapema swt
Swt bana, sasa mbona kuna side sauce peke yake? weka main basi tule, yaani mpe mawazo afurahi au anune?Neno nyakanga limenikumbusha somo la kiswahili darasa la saba miaka ya tisiniiii?
nakumbuka kuna mkulima mmoja alikuwa anawalalamikia kanga(ndege) kama ni nyakanga kwani siyo rahisi kuwatega.
sijachakachua hii thread bali kila msosi lazima uwe na side sauce bana.
Mama paroko bana kitanda kipi sasa, cha guest house?furahi tu, kitanda hakizai haramu.
Atafanyeje ndo matokeo tena, naona alidhamiria kupata mtoto, hapa anatafuta justificationMama paroko bana kitanda kipi sasa, cha guest house?
Pia nina ushhuhuda kama huu, tatizo watu wana haraka na kama unampenda na kumheshimi mngeweza hata kusave mkaenda kupandikiza huko hospital tena siku hizi hata sio mbali nairobi tu hapo
Mama paroko bana kitanda kipi sasa, cha guest house?
Ntachangia kesho..nimpe kitu cha uhakika.Swt bana, sasa mbona kuna side sauce peke yake? weka main basi tule, yaani mpe mawazo afurahi au anune?