Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,753
Tatizo nililoliona hapo ni sababu jamaa hana kazi "huyu mdada kasema kwamba wapo tofauti sababu jamaa yupo shule yeye yupo mtaani anafanya kazi" sasa ajabu sie wanaume tunaweza kua tuna kazi lakini unamchukua mwanamke asie na future hata kazi yenyewe hana yani hata haeleweki na wala hatu complain...