Nifundisheni Kumpenda

Tatizo nililoliona hapo ni sababu jamaa hana kazi "huyu mdada kasema kwamba wapo tofauti sababu jamaa yupo shule yeye yupo mtaani anafanya kazi" sasa ajabu sie wanaume tunaweza kua tuna kazi lakini unamchukua mwanamke asie na future hata kazi yenyewe hana yani hata haeleweki na wala hatu complain...
 
Unasubiri nn kumpa kitumbua chako?. Da natamani jamaa yako ndiyo angeleta Uzi humu tumshauri aachie ngazi kwako. alianza kukufuata hukumpenda, ukawa na mwingine akakumimba. Jamaa kazingua mmeanza tena mahusiano lakini mpaka sasa hujampa papuchi!! Hapo mkioona unajitafutia tu lawama za michepuko. Na Ninaamini akija mwanaume mwingine tena unaye mfeel unaweza mpa papuchi kabla yake.
Nimecheka Leo tena
 
Mkuu upewe nini tena!!? Tena shukuru mungu huyu ni static aisee since upo unaitwa miss Fulani mpk unafikia kwenye mama Fulani bado anakuelewa. ungekutana na mabaharia hapo Hata kama alikuwa anakuzimia kiasi gan angebadili gia fasta tu. Hebu mpe moyo wako kijana wa watu bhn
 
Broke men wanajua kucare sana maana ndicho kitu pekee anachoweza kuoffer, sasa akishazishika


Halafu kingine kinachofanya ushindwe kumpenda ni hiyo hali yake ya kiuchumi. Pesa ni sumaku sometimes
 
Broke men wanajua kucare sana maana ndicho kitu pekee anachoweza kuoffer, sasa akishazishika


Halafu kingine kinachofanya ushindwe kumpenda ni hiyo hali yake ya kiuchumi. Pesa ni sumaku sometimes
Hili nalo neno
 
Mkuu upewe nini tena!!? Tena shukuru mungu huyu ni static aisee since upo unaitwa miss Fulani mpk unafikia kwenye mama Fulani bado anakuelewa. ungekutana na mabaharia hapo Hata kama alikuwa anakuzimia kiasi gan angebadili gia fasta tu. Hebu mpe moyo wako kijana wa watu bhn
Haha mnateteana sana
 
Habari zenu jf
Wakati nasoma chuo nilitokea kupendwa Sana na kijana mmoja darasani Ila sikumkubalia ombi la kuwa naye kwa sababu kiumri tulikuwa tunalingana Na hata hivyo sikuwa nimempenda

Mimi baada ya kumaliza chuo nilipata kazi yeye hakupata Hadi Leo ,basi aliamua kurudi shule ambako anasomeshwa na wazazi na mwezi wa kumi na moja shule inaisha.

Baada ya kumaliza shule nilipata mtu mwingine ambaye nilizaa naye Ila baadaye tulishindwana kila mtu akaendelea na maisha yake.

Kwa sababu nilikuwa Sina ugomvi na yule kijana wa chuo tulikuwaga tunasalimiana Mara moja moja na baadaye mwaka Jana nilimuambia kuwa mahusiano yangu yameenda vibaya alinitia moyo na baadaye alirudi Tena akinisihi nimkubalie na yupo tayari kuwa na Mimi no matter what

Nilimkubalia japo mahusiano yalikuwa ya kitoto Toto Sana(yupo chuo)nipo mtaani kazini ,so ilikuwa hatupo committed kabisa hatuzungumzii future Yani Ni ile umeamkaje umeshindaje hatuonani Wala kutembeleana toka mwaka Jana alipita kwangu once akalala kwa jirani kesho yake nikamtembeza town kidogo akenda zake chuo,(Ndo Mana nilikuwa nimekubali yule "una buku hapo ,Mana nilijua kabisa hapa sioni future mwanaume anaonekana bado hela ya kula anapewa na wazazi Mimi tayari Nina maisha refer uzi ulopita )

Pamoja na hayo Ni mtu anaye jali Sana (Siyo kwa maana ya kunipa vitu hapana coz Hana hela ile emotional tu),like KUPIGA simu,kuuliza mipango yangu inaendeleaje hivyo
Akikupigia utapenda "it's like hellow my precious wife how are you doing ,I miss you mpenzi,Nakupenda Sana malkia wangu Yani ana maneno matamu mnoo (alafu kwa kingereza sasa chezea mhaya wewe),aogopi kuku introduce kwa yeyote , he is innocent ,kind ,humble and very understanding

Kuna siku tukawa tunatembea njia nzima nimeshikwa mkono na mkoba nimesaidiwa(jamani sisi wanawake haya Mambo tunapenda Sana) .

Ila kwa upande mwingine Mimi Simpendi akipiga simu wakati mwingine sipokei ,akinitext Kama mud haipo sijibu Yani vyote hivyo vinaonyesha hayupo moyoni mwangu ,wakati mwingine najikaza tu

Nimeona drama za wanaume wa siku za Leo (Siyo wote ) wengine wanachuna wengine waongo, hawajitambui, hawana upendo wa kweli Ila huyu anaonyesha upendo wa agape hasa,

Baada ya kuwaza Sana Nika come up with conclusion,kwa Nini nisieke nguvu zangu na moyo kwa huyu kijana ambaye IAM sure ananipenda na hawezi kunitenda?

sasa ombi langu kwenu nataka nianze kutengeneza mapenzi na huyu kaka ,nisaidie mbinu ya kufanya nimpende na nimshikilie for future use.

#Je Hali yake ya uchumi ya sasa nifanyeje nimsaidie naye atoboe
TATILIZO LAKO UNACOMLICATE HAYA MAPENZI. MWANAMKE UKIPENDWA PENDEKA TU ACHA HABARI ZA KUSEMA HANA KAZI UMRI MDOGO.PESA NI NZURI MAANA NDIYO MBOLEA YA MAPENZI LAKINI PESA SIYO MAPENZI MAANA MAPENZI YANAYOLENGA PESA NI SAWA TU NA MUUZA PAPUCHI .INASAIDIA NINI PESA IPO MTU HAWEZI KUPIGA PAPUCHI,KIPIGO DAILY,FUMANIZI DAILY,MATUSI NA KUKUFEZEHESHA MBELE ZA WATU.NDUGU, ZAKO WANAFEDHEHESHWA HATA JELA WANATUPWA.MTOTO WA KIKE SUBIRI KUPENDWA NA UKIPENDWA PENDEKA .ONYO KUWA MAKINI NA MAPENZI YA SINEMA MAANA SISI WANAUME SEHEMU YENYE MAFUTA TUNAPAJALI KINOMA KWA MUDA TU PAKIKATA TUNATEMBEA SPIDI YA HATUA 240KWA DAKIKA. HALAFU HIYO KITU INAITWA FUTURE NDIYO NINI ?WANAWAKE HUWA MNACHEKESHA SANA ETI FUTURE WATU WAMEKWENDA KWA PAROKO WAKAFUNGA NDOA MIEZI SITA NDOA CHALI KILA MTO ANALIA KIVYAKE ANACHUKIA WANAUME WOTE. NARUDIA TENA KUWA UKIPENDWA PENDEKA .HAKUNA KITU AMBACHO WANAUME HATUKIPENDI KUPITA KIASI KAMA DHARAU HATA KAMA UNAYO PESA YA KUFA MTU UKIANZA KUNIFEDHEHESHA NA KUNIAMBIA SINA FUTURE JUA IPO SIKU NITAKUBWAGA KWENYE MAZINGIRA AMBAYO NDIYO UNANIHITAJI TOKA MAYONI .MWANAMKE ONESHA UNYENYEKEVU NA LUGHA NZURI KWA ANAYEKUPENDA. SISI WATOTO WA USWAZI TUNASEMA HERI SHILINGI MIA NZIMA KULIKO ELFU MOJA MBOVU. NAKUTAKIA SIKUKU NJEMA.
 
TATILIZO LAKO UNACOMLICATE HAYA MAPENZI. MWANAMKE UKIPENDWA PENDEKA TU ACHA HABARI ZA KUSEMA HANA KAZI UMRI MDOGO.PESA NI NZURI MAANA NDIYO MBOLEA YA MAPENZI LAKINI PESA SIYO MAPENZI MAANA MAPENZI YANAYOLENGA PESA NI SAWA TU NA MUUZA PAPUCHI .INASAIDIA NINI PESA IPO MTU HAWEZI KUPIGA PAPUCHI,KIPIGO DAILY,FUMANIZI DAILY,MATUSI NA KUKUFEZEHESHA MBELE ZA WATU.NDUGU, ZAKO WANAFEDHEHESHWA HATA JELA WANATUPWA.MTOTO WA KIKE SUBIRI KUPENDWA NA UKIPENDWA PENDEKA .ONYO KUWA MAKINI NA MAPENZI YA SINEMA MAANA SISI WANAUME SEHEMU YENYE MAFUTA TUNAPAJALI KINOMA KWA MUDA TU PAKIKATA TUNATEMBEA SPIDI YA HATUA 240KWA DAKIKA. HALAFU HIYO KITU INAITWA FUTURE NDIYO NINI ?WANAWAKE HUWA MNACHEKESHA SANA ETI FUTURE WATU WAMEKWENDA KWA PAROKO WAKAFUNGA NDOA MIEZI SITA NDOA CHALI KILA MTO ANALIA KIVYAKE ANACHUKIA WANAUME WOTE. NARUDIA TENA KUWA UKIPENDWA PENDEKA .HAKUNA KITU AMBACHO WANAUME HATUKIPENDI KUPITA KIASI KAMA DHARAU HATA KAMA UNAYO PESA YA KUFA MTU UKIANZA KUNIFEDHEHESHA NA KUNIAMBIA SINA FUTURE JUA IPO SIKU NITAKUBWAGA KWENYE MAZINGIRA AMBAYO NDIYO UNANIHITAJI TOKA MAYONI .MWANAMKE ONESHA UNYENYEKEVU NA LUGHA NZURI KWA ANAYEKUPENDA. SISI WATOTO WA USWAZI TUNASEMA HERI SHILINGI MIA NZIMA KULIKO ELFU MOJA MBOVU. NAKUTAKIA SIKUKU NJEMA.
Duh mbona maneno yako yanachoma Kama shubiri haya buana ,
 
I wish jamaa angepita hapa aone atapendwa akishika hela bora atafune mapema alale mbele maisha sio magumu hivyo...
 
Broke men wanajua kucare sana maana ndicho kitu pekee anachoweza kuoffer, sasa akishazishika


Halafu kingine kinachofanya ushindwe kumpenda ni hiyo hali yake ya kiuchumi. Pesa ni sumaku sometimes
Kweli Atoto ,nifanyeje sasa
 
Yaani hapo ulimkubalia kwa sababu timu moja ilikuwa mbele kwa goli moja. Ningekuwa ni mimi wala ningejisumbua kukutafuta.
 
Back
Top Bottom