What is love??Je ni hisia za kwichi kwichi na mtu, je ni kumjali mtu, je ni kumuwaza mtu kila wakati, je ni kumuheshimu mtu....
Hapo nyuma mababu huko watu walikua wanaletewa mke , anachaguliwa mke...anamchukua hapohapo ndoa inafungwa..watu wanakaa mpaka uzeeni,je hawa wazee wa zamani walikua tofauti na sisi??
Nafikiri ni jinsi tunavyotofautiana tafsiri ya kupenda....
Watu wenye wake au waume wanaelewa...na wengi utakuta wanasema huyu hata sikutarajia tuoane lkn tumeoana.....na tunapendana....au unakuta jamaa kavuruga wadada huko lkn anaekuja kumuoa anakua mtu wa design tofauti mpaka kila mtu anashangaa...
My Comments:
Kama hii story ni ya kweli basi inawezekana akili ya dada bado haijapevuka na kuweza kuelewa na kutofautisha haya mambo
Dada hajui tofauti ya upendo na INFATUATIONS
Dada inawezekana amezaa ndio lkn bado akili yake haijawa tayari kwa ajili ya ndoa...
Huyu mkaka nae awe makini....wakati mwingine AKILI INABIDI ITUMIKE ZAIDI KULIKO HISIA....