ndalibanyo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 431
- 432
mke wangu amekithiri kwa uchafu nimesema mpaka nimechoka, naombeni ushauri ndugu zangu.
Mpe talaka tatu.
Kama kakushinda wewe uliyemtolea mahari, sie wenye majina feki tena asiyetujua tutamuwezea wapi.
Kama vipi mwambie ajiunge JF apate mafunzo rasmi toka kwa wanawake wasafi.
BTW, huo uchafu wake uko wapi? Manake nijuavyo mie hakuna K chafu. Kama ni uchafu wa nyumba au nguo, hata wewe una mikono waweza fanya usafi.
Ahsanta.
Mpe talaka tatu.
Kama kakushinda wewe uliyemtolea mahari, sie wenye majina feki tena asiyetujua tutamuwezea wapi.
Kama vipi mwambie ajiunge JF apate mafunzo rasmi toka kwa wanawake wasafi.
BTW, huo uchafu wake uko wapi? Manake nijuavyo mie hakuna K chafu. Kama ni uchafu wa nyumba au nguo, hata wewe una mikono waweza fanya usafi.
Ahsanta.