Nifanyeje

Ah! wanawake wengine bwana, kwani we ndo ulompa jina huyo mtoto? si amtukane mumewe. wewe utaweza kubadili hilo jina kwa hayo matusi??
achana nae shoga asikufupishie maisha :angry:
 
kwani kuna ubawa huyo mtoto akawa wa jina wko? kingne shukuru huyo mchizi anakupenda na hataki kukusahau kbs upo kwa hyo mtoto anaitwa fanta face? its nice name

Kunipenda ananipenda maana hatukuachana kwa ugomvi ila sasa huko alikofika ndo kubaya SIMUELEWI
 
Pole sana na hongera kwa kuumia kuona umuhimu wa kutomkosea mwanamke mwenzio,si wanawake wengi wana roho hii hasa kama walimpenda mtu ila kukawa na vikwazo fulani wakashindwa kuwa pamoja.

Kuhusu huyo mke wa huyo kaka,kwanza muelewe tu,ni haki yake kukasirika na kweli inauma sana na kuleta maswali mengi......kubadili namba,wala kumu ignore kunaweza kusiwe suluhisho na pengine akafikiri vingine na hasira yake ikazidi.....zungumza na huyo dada kwa upole na kwa maneno machache sisitiza huna uhusiano na mumewe tena....usimjibu kwa hasira hata kama amekuudhi sana,baada ya muda atatulia na mwaweza kaa chini mkazungumza......nilishapata adha ya kutukanwa nikizaniwa natoka na mume wa mtu kisa mazoea ya utani utani.....nikakaa chini nikajiweka kwenye nafasi ya yule mwanamke nikamuelewa,nikamtafuta akanitukana wee baadaye nikamuomba mumewe atukutanishe mimi na yeye lunch.....akafanya hivyo,niliongea nae kwa masaa mawili......tangu siku hiyo mimi na yeye tu marafiki sana.....yaani wale wa kusikilizana kwenye mambo magumu sana na kusaidiana na bado tu marafiki na mumewe......

Itachukua muda yeye kukuelewa,ila naamini baada ya muda atakuelewa vizuri tu.....pengine haufahamu ukweli,sisitiza kwa maneno na matendo yako kuwa huna uhusiano na mumewe uliokuwa nao huko nyuma na kwamba una heshimu ndoa yake na Mungu....kama huu ndo ukweli,siku si nyingi utamuona tu kapoa na maisha yanaendelea.....mumewe hakufanya vizuri kwa maoni yangu,yaonekana ni mtu wa mabavu na hili laweza mgharimu sana......

all the best dear.....Mungu akuepushe na mabaya yote manake siku hizi watu wana hasira,akikuhisi tu hashundwi kukufanya baya....mshirikishe pia Mungu,yeye aujua ukweli na ana nguvu ya kutuliza yote haya!

Nashukuru sana dada kwa ushauri huu Mwenyezi Mungu akubariki sana Asante
 
Ah! wanawake wengine bwana, kwani we ndo ulompa jina huyo mtoto? si amtukane mumewe. wewe utaweza kubadili hilo jina kwa hayo matusi??
achana nae shoga asikufupishie maisha :angry:

Mwenzangu yaani nabeba mzigo usiobebeka asante
 
klAMA UNATUMIA nOKIA WEKA CALL DIVERT NAMBA ANDIKA YA BWANA YAKE THEN ATAKUWA AKIPIGA INAKWENDA KWA BWANA WAKE HAPO ATAKUWA HANA LA KUSEMA.
 
Wengi wamekueleza kila mtu kwa uwezo wake kujaribu kukupatia suluhisho.
Nikisoma
Kwa kina sana maelezo yako yanaonesha hata baada ya jamaa kuoa hukukata mawasiliano nae pia jamaa hana busara kwani inaonesha amekuwa akikutaja na pengine kukusifia kwa mkewake(hali hii hujenga chuki kwa kiwango kikubwa sana), ikiwa ndio sababu ya mke kukujua na kukuchukia.
Muimu ni kuhakikisha unakuwa complitely silence na kuingia gharama yoyote kusababisha kuvunjika kwa mawasiliano ikimaanisha hata namba za cm ubadilishe, kwa sababu mke anazidi kukuchukia kwani anajua mumewake anawasiliana nawe na anakupenda bado (inawezekana anakuta msg/sent item kwenye cm ya mumewe, pia reactions anazoonyesha juu ya mtoto zaidi akitaja jina la mtoto anaweza akawa anazungumza maneno yanayomuudhi mke kwani yanamkumbusha wewe). hii inamjengea chuki moyoni hujui atafanya reaction gani siku za usoni anaweza hata kukodisha watu wakudhuru ili mradi kukusababishia maumivu. Ingewezekana ungeolewa ili ajue hauko na mumewe tena na haumuitaji. Pole dada usiache kumwomba MUNGU kwani ndiye muweza wa yote.
 
laiti kama mioyo yetu ingekuwa inasema wandugu sio wote waliopo ndani humo ni mapenzi,ushauri kwa mdada ahangaike na mumewe huyo dada mwingine anapoteza nguvu zake tu bila sababu.

fanta face acha majibizano na mkewe usipokee simu wala kujibu msg yoyote kutoka kwake huo ndo ushauri wangu.
 
Wengi wamekueleza kila mtu kwa uwezo wake kujaribu kukupatia suluhisho.
Nikisoma
Kwa kina sana maelezo yako yanaonesha hata baada ya jamaa kuoa hukukata mawasiliano nae pia jamaa hana busara kwani inaonesha amekuwa akikutaja na pengine kukusifia kwa mkewake(hali hii hujenga chuki kwa kiwango kikubwa sana), ikiwa ndio sababu ya mke kukujua na kukuchukia.
Muimu ni kuhakikisha unakuwa complitely silence na kuingia gharama yoyote kusababisha kuvunjika kwa mawasiliano ikimaanisha hata namba za cm ubadilishe, kwa sababu mke anazidi kukuchukia kwani anajua mumewake anawasiliana nawe na anakupenda bado (inawezekana anakuta msg/sent item kwenye cm ya mumewe, pia reactions anazoonyesha juu ya mtoto zaidi akitaja jina la mtoto anaweza akawa anazungumza maneno yanayomuudhi mke kwani yanamkumbusha wewe). hii inamjengea chuki moyoni hujui atafanya reaction gani siku za usoni anaweza hata kukodisha watu wakudhuru ili mradi kukusababishia maumivu. Ingewezekana ungeolewa ili ajue hauko na mumewe tena na haumuitaji. Pole dada usiache kumwomba MUNGU kwani ndiye muweza wa yote.

Nitafata ushauri wako ila huo wakuolewa bado namsubiri mchumba wangu amalize masters yake akirudi ndo tunaweza kuoana na hiyo ni mwaka 2012
 
laiti kama mioyo yetu ingekuwa inasema wandugu sio wote waliopo ndani humo ni mapenzi,ushauri kwa mdada ahangaike na mumewe huyo dada mwingine anapoteza nguvu zake tu bila sababu.

fanta face acha majibizano na mkewe usipokee simu wala kujibu msg yoyote kutoka kwake huo ndo ushauri wangu.

Unafikiri namjibu basi nikipokea simu ambayo namba siijui na akiongea yeye huwa nakata nikishafanya hivyo msg itakayokuja hapo ni matusi mazito sasa msg huwezi acha pokea asante kwa ushauri wako nitaufata
 
Mimi naomba tu nikusalimu dada Michelle...nimekumiss kwelikweli! Hope everthing is fine with you!

Kumbe nawe pia KH eh! pole sana...Michelle usipotee jukwaani kipindi kirefu utaacha wakaka/wadada wanywe sumu bure! Kisa wamemmiss Michelle kipenzi chao LOL! Haya wote wawili msikose kule kwa GUNNERS baadaye leo kushangilia kwa nguvu zenu zote ili tujikusanyie 3 points.
 
Pole Fanta Face. Unajua kukaa kimya na kutulia ni solaha moja kubwa sana kwa mtu anayetukana na kupiga makelele. Mi nakushauri unyamaze kimya. Hata aandike nini nyamaza kimya!!!

Akipiga simu ukipokea ukikuta ni yeye mwambie samahani niko bize nipigie baadae. Chochote atakacho fanya wewe tulia tu, huku ukimuomba Mungu ulinzi. Najua kwa Neema ya Mungu atatulia tu.

Halafu napo nimejifunza kitu kingine, akizaliwa mtoto akike nitaomba mi nimpe jina, akizaliwa wa kiume nitaomba hyo kichwa ampe jina yeye, sasa sijui atakubali. Manake kumbe mtu anaweza kumpa mtoto jina la ex wake alomjaa moyoni bwana. Dah nimegundua......
 
Pole Fanta Face. Unajua kukaa kimya na kutulia ni solaha moja kubwa sana kwa mtu anayetukana na kupiga makelele. Mi nakushauri unyamaze kimya. Hata aandike nini nyamaza kimya!!!

Akipiga simu ukipokea ukikuta ni yeye mwambie samahani niko bize nipigie baadae. Chochote atakacho fanya wewe tulia tu, huku ukimuomba Mungu ulinzi. Najua kwa Neema ya Mungu atatulia tu.

Halafu napo nimejifunza kitu kingine, akizaliwa mtoto akike nitaomba mi nimpe jina, akizaliwa wa kiume nitaomba hyo kichwa ampe jina yeye, sasa sijui atakubali. Manake kumbe mtu anaweza kumpa mtoto jina la ex wake alomjaa moyoni bwana. Dah nimegundua......

Asante kwa ushauri
 
<p>
Niliwahi kuwa na BF miaka kama mitano hivi imepita tulipendana sana lakini ikaja swala la dini tukashindwa kuoana yeye alioa dini yake, baada ya kutaka kuoa nilimwambia sina jinsi wazazi hawataki kusikia hiyo habari, nikamruhusu bila kinyongo hata harusi nilihudhuria, tulikuwa na mawasiliano ya kawaida tu bila kufanya chochote maana sipendi kumkosea mwanamke mwenzangu yaani mkewe, sasa limekuja swala kwamba mkewe kajifungua mtoto wa kike yapata miezi kama minne hivi mimi sikujua kumbe yule mwanaume kampa jina langu yule mtoto na mkewe ananifahamu, sasa yaani nimekaa katika mateso makubwa sana ni msg, simu za matusi kutoka kwa mkewe eti iweje mumewe ampe jina langu mtoto wake, niko njia panda mwenzenu, huyo mwanaume nimemuuliza anasema mimi ndio baba mwenye nyumba nimesema mtoto jina lake ni Fanta Face nimemaliza, nisaidieni ushauri wakubwa nifanyeje
</p>
<p>&nbsp;</p>


mhh mi naona Kama fanta face unajifigilia vile, mie nazani jina ni jina sio sababu zamani ulitembea na mume wa huyo dada uzani ndio mumewe kampa jina kwaajili yako, na huyo mke nazani anakutukana kisa kajua ulishawahi kulambwa na mumewe na sio jina Kama unavyojidanganya lol!
 
Back
Top Bottom