Nifanyeje

Kutaka kuongea nae kunaweza kukamkasirisha zaidi dada wa watu!Binafsi sidhani kama ningeelewa labda kama angekua anaondoa hisia za kwamba wako pamoja..akae mbali nao tu aise...asije akamuumiza zaidi mwenzake!Mi nipo nipo dearet!Vipi wewe?Umemiss vituko humu maana siku hizi kunatisha!

mimi kidogo nina kazi nyingi,nachoka sana ila siku nikipata nafasi kama leo lazima nipite kuwasalimu marafiki na maadui zangu....kuna vituko gani tena JF? kunatisha nini niambie dearest......!!!:smash:
 
mimi kidogo nina kazi nyingi,nachoka sana ila siku nikipata nafasi kama leo lazima nipite kuwasalimu marafiki na maadui zangu....kuna vituko gani tena JF? kunatisha nini niambie dearest......!!!:smash:

Mimi naomba tu nikusalimu dada Michelle...nimekumiss kwelikweli! Hope everthing is fine with you!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
mimi kidogo nina kazi nyingi,nachoka sana ila siku nikipata nafasi kama leo lazima nipite kuwasalimu marafiki na maadui zangu....kuna vituko gani tena JF? kunatisha nini niambie dearest......!!!:smash:
khaaaa! :tape2:
 
mimi kidogo nina kazi nyingi,nachoka sana ila siku nikipata nafasi kama leo lazima nipite kuwasalimu marafiki na maadui zangu....kuna vituko gani tena JF? kunatisha nini niambie dearest......!!!:smash:
Pole kwa kazi dearest!Kweli hata maadui wanadeserve salamu!Lolz!Ah huku tena...kila siku watu wanakuja na mapya!
 
Mimi naomba tu nikusalimu dada Michelle...nimekumiss kwelikweli! Hope everthing is fine with you!

Nashukuru dada Keren,wajua navyopenda kuona hilo tabasamu la malaika kwenye hiyo avatar yako.....nimekumiss pia sana tu....everything is fine with me,nashukuru Mungu........i hope you are well tooo.....!!!
 
Pole kwa kazi dearest!Kweli hata maadui wanadeserve salamu!Lolz!Ah huku tena...kila siku watu wanakuja na mapya!

yetu macho kusoma na kushangaa hakuna lingine,ukitafakari sana utapasuka kichwa kwa story za ajabu kila kukicha.....:washing:
 
ukishakumsalim dada michelle namimi naomba nikusalim halaf tunaomba mchango wako kuhusiana na kesi ya fanta face na ex wake.

Heshima yako Klorokwin....hivi ile sherehe ya kushehekea siku yako imeisha??!! Maana nilikuwa huko nasubiri angalau soda...lakini wapi sijakuona mwenye sherehe...!!!
 
Nashukuru dada Keren,wajua navyopenda kuona hilo tabasamu la malaika kwenye hiyo avatar yako.....nimekumiss pia sana tu....everything is fine with me,nashukuru Mungu........i hope you are well tooo.....!!!

Good to hear that my dear sister....I am doing fine thank God!

Leo ilikuwa siku ya Klorokwin...sijui umeiona sredi yake???
 
Niliwahi kuwa na BF miaka kama mitano hivi imepita tulipendana sana lakini ikaja swala la dini tukashindwa kuoana yeye alioa dini yake, baada ya kutaka kuoa nilimwambia sina jinsi wazazi hawataki kusikia hiyo habari, nikamruhusu bila kinyongo hata harusi nilihudhuria, tulikuwa na mawasiliano ya kawaida tu bila kufanya chochote maana sipendi kumkosea mwanamke mwenzangu yaani mkewe, sasa limekuja swala kwamba mkewe kajifungua mtoto wa kike yapata miezi kama minne hivi mimi sikujua kumbe yule mwanaume kampa jina langu yule mtoto na mkewe ananifahamu, sasa yaani nimekaa katika mateso makubwa sana ni msg, simu za matusi kutoka kwa mkewe eti iweje mumewe ampe jina langu mtoto wake, niko njia panda mwenzenu, huyo mwanaume nimemuuliza anasema mimi ndio baba mwenye nyumba nimesema mtoto jina lake ni Fanta Face nimemaliza, nisaidieni ushauri wakubwa nifanyeje
Muulize kwani Fanta Face uko peke yako ktk dunia hii?
 
Good to hear that my dear sister....I am doing fine thank God!

Leo ilikuwa siku ya Klorokwin...sijui umeiona sredi yake???

siku ya Kloro ya kuzaliwa?mbona sijajua jamani kipenzi changu atanionaje?hiyo thread iko jukwaa gani?:smash:
 
Heshima yako Klorokwin....hivi ile sherehe ya kushehekea siku yako imeisha??!! Maana nilikuwa huko nasubiri angalau soda...lakini wapi sijakuona mwenye sherehe...!!!

Good to hear that my dear sister....I am doing fine thank God!

Leo ilikuwa siku ya Klorokwin...sijui umeiona sredi yake???
dah ! kumbe ile sredi bado ipo? mbona haionekani. soda lako nimekuwekea PM huku.

aisee turudini kwenye mada. fantaface ana hasira za kuchakachuliwa jina lake na ex wake asije akaturipoti abyuzi
 
Niliwahi kuwa na BF miaka kama mitano hivi imepita tulipendana sana lakini ikaja swala la dini tukashindwa kuoana yeye alioa dini yake, baada ya kutaka kuoa nilimwambia sina jinsi wazazi hawataki kusikia hiyo habari, nikamruhusu bila kinyongo hata harusi nilihudhuria, tulikuwa na mawasiliano ya kawaida tu bila kufanya chochote maana sipendi kumkosea mwanamke mwenzangu yaani mkewe, sasa limekuja swala kwamba mkewe kajifungua mtoto wa kike yapata miezi kama minne hivi mimi sikujua kumbe yule mwanaume kampa jina langu yule mtoto na mkewe ananifahamu, sasa yaani nimekaa katika mateso makubwa sana ni msg, simu za matusi kutoka kwa mkewe eti iweje mumewe ampe jina langu mtoto wake, niko njia panda mwenzenu, huyo mwanaume nimemuuliza anasema mimi ndio baba mwenye nyumba nimesema mtoto jina lake ni Fanta Face nimemaliza, nisaidieni ushauri wakubwa nifanyeje
Huyo mwanamke akili ipo kweli?mwambie ajinuse kwanza.KUKU KUKU TU JOGOO JINA.
 
dah ! kumbe ile sredi bado ipo? mbona haionekani. soda lako nimekuwekea PM huku.

aisee turudini kwenye mada. fantaface ana hasira za kuchakachuliwa jina lake na ex wake asije akaturipoti abyuzi

Huyu mwanaume hanielewi kabisa niko njia panda
 
Back
Top Bottom