So to you cheating is not a big deal eeh! Good for you.
Thank You Michelle. Just pray for me ni-make right decisions.
Mama si lazima kukaa na mtu usiempenda!!nadhani kwa sasa huna mapenzi nae hata kidogo kwa hiyo jitahidi uachane nae na ukaanze maisha kwengine!!
jamani hamuoni wenzenu wazungu!!!???kula unachopenda mama!!Muachie mitoto yake aisome!!
Hujamsamehe mama,ulimwambia tu umemsamehe.....
Naona una mume mwenye busara kwamba amekiri kosa,ushauri wangu usizidi kumuumiza hata kama bado inakuuma usiache hadi kumsemesha.......unless humhitaji tena,zungumzeni tu....na pengine utajua mengi na kwanini hilo lilitokea na ufanyeje lisitokee......we do not marry angels from heaven my dear.......but living necessary.........
Pole sana,kweli inaumiza hasa kama umekuwa ukitimiza wajibu wako na hukustahili hilo,ila usimpe shetani nafasi ya kumpa mumeo matamanio ya kwenda nje tena........Muombe pia Mungu akusaidie kusamehe, kikweli kwa uwezo wa kibinadamu ni ngumu.....
This is off the topic...lakini i dont see the difference between mtu akitembea nje akiwa ndani ya ndoa na mtu anayetembea kabla ya kuoa/olewa!
Commitment ya ndoa ni kulala na mtu mmoja tu au kupendana mpaka mwisho?
Which raises the next question...Upendo ni sex tu?
Anyway...u must be hurting at the moment and the way am thinking is different from many others around here! So i might not be of a great help. Ongea naye...jaribu kujenga uhusiano from the start maana inaelekea imebomoa kila kitu! Muanze kama wapenzi wapya tu, mlivyoanza zamani hizo...