nimepapa schoraship kwenda kusoma UK ya nchi miezi 5, lakini nimechumbiwa na mpango wa ndoa umeshaanza. mwanaume amenikataza nisiondoke. lakini harusi siandai mimi ni wazazi na mda wa harusi nitakuwa nimesharudi tanzania.
huyu mwanaume amesema nikiondoka ataniacha. lakini masomo haya nikiyapata yatatunufaisha sisi sote. tena ni nafasi pekee yaani golden chance, haijirudii tena nikiikosa. hebu nisaidie mawazo wanajukwaa.
huyu mwanaume amesema nikiondoka ataniacha. lakini masomo haya nikiyapata yatatunufaisha sisi sote. tena ni nafasi pekee yaani golden chance, haijirudii tena nikiikosa. hebu nisaidie mawazo wanajukwaa.