Nifanyeje niwe na mahusiano rasmi?

Nifanyeje niwe na mahusiano rasmi?

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
28,029
Reaction score
52,507
Ninaowapata ni wa kwenye mitandao, wapo mbali hivyo tunaishia tu kuchatchat siku inaisha. Ninaowapata mtaani huwezi wafanyia promotion yoyote maana wanaonekana tu wapigaji.

Upweke nao unatesa, unatamani wikend hivi uwe na mtu wako akufanyie shoping, upike, mle mpige story ila hayupo.

Unajiuliza ulitolewa kwenye ubavu wa mbao nini? Mume wa mtu hana raha yoyote japo ni wawekezaji wa uhakika ni wewe tu at your own risk. Hebu kuweni wakweli ni jinsi gani ya kumpata anaekupenda au haina mjanja?
 
Lower your high exepection. At least to an average standard.

Pengine unakuwa na matarajio meengi. Mwanaume mwenye mapesa mengi wakati huohuo unataka wa kukupenda sana, mwenye six pak, handsome, msomi, mcha Mungu nk
 
Lower your high exepection. At least to an average standard.

Pengine unakuwa na matarajio meengi. Mwanaume mwenye mapesa mengi wakati huohuo unataka wa kukupenda sana, mwenye six pak, handsome, msomi, mcha Mungu nk
napenda pesa lakini sio saana yaani mwanaume wa kawaida tu tule tulale . unadhani wanaume wasio na kitu wametulia? heshima ni kipaji kwa mwanaume kuna mwanaume hana lolote ila hana future wala nini mnatuonea tu wanana kwamba expectation zetu zipo juu wala hatupo hivo
 
Hivi ni kweli hata wewe unayetafutwa hupati au una sura ngumu.

Wanaume tunahangaika kwasababu ndio tuna kazi ya kutafuta.

Mimi nimeamua kuwa mpole najua mke nitapata mwaka wowote.
 
Hivi ni kweli hata wewe unayetafutwa hupati au una sura ngumu.

Wanaume tunahangaika kwasababu ndio tuna kazi ya kutafuta.

Mimi nimeamua kuwa mpole najua mke nitapata mwaka wowote.
kama shida ni sura mbona wapo wazuri tu naona nipo nao bench? na anliesema sitafutwi nani soma maelezo vizuri acha dharau huna hushauri pita hivii
 
Hii topic niruhusu niifanyie remix kama Salome na diamond, pia una maswali kama yangu
 
Mhh,tukifanya combination inaweza ikaleta maana,hapa nilipo kila nicheki sielewi naona heri niende mahali nifurahishe Maddi
 
Back
Top Bottom