Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Heheheheh.... Na ukiona jinsia ya kiume inakaa sana kwenye kioo.... halafu eti inajisifia yenyewe ni "mzuri" ujue kuna tatizo flani la kijinsia.... Ushalijua Wonder Woman wangu?Unamatatizo kweli kweli.
Yaani unalalamika sababu we mzuri badala ya kushukuru.
Pili hata uwe na sura chachu watu hawawezi kukwambia LIVE una sura mbaya.
Bali watakusifu tu . (kwa hiyo usijisikie saaaana mtu akikwambia "Kaka we ni mzuri")
Tatu punguza muda wako unaoutumia kwenye kioo. hiyo itakusaidia.
Haya mwamkie babu.