Nifanyeje nipendwe kama zamani?.

Nifanyeje nipendwe kama zamani?.

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,324
Reaction score
2,494
Id el hajj wanajukwaa.
Baada ya salam, niende moja kwa moja kwenye mada kuwa nifanyeje nipendwe kama zamani maana naona kuoa imekuwa namna ya kukosa upendo kwa mke sababu ya mazoea, mademu wengi ukiwatongoza wanasema tunamwogopa mkeo japo siyo tishio, yaani hata uhuru wenyewe wa kutongoza sina nikiwaza hilo jibu, hata sound zimeshapotea!

Yaani love imepotea kama pesa za Magufuli mtaani. Au nitimue mke nirudi ujanani? No love at all. Kweli mke mmoja anadumaza akili! Kuna kipindi nikiwa wa umri fulani nilikuwa nashabikia sana ndoa za mkataba kama mwaka au miaka miwili, ila wakati wa kuoa hilo wazo sikulikumbuka naona linanirudia kwa kasi na kuona umuhimu wa ndoa za mkataba. Namiss ladha tofauti za mautamu toka kwa mademu tofauti. Mautamu simaanishi tu sex, i mean hata ule uhuru wa kuchat, jokes, kukutana sehemu na ku share hata stories. Hivi ndoa ni jela ee? Nafikiria kumkimbia mke ama nimtimue tukutane fainali uzeeni.
 
Anza kwa kurekebisha penzi lako na mkeo.....
Mtoe out, mpe zawadi, msifie sifie hata kinafiki....
Msaidie vjikazi vidogo....
Mnunulie manukato mzuri, mafnye awe mpya kwako..,..mpe show ya ukweli....

Kisha rudi hapa utupe mrejesho
 
Ulijifunga kifungoni mwenyewe mkuu usilalamike. Ila kumbuka pia kuna UKIMWI na mengine huko nje afu ndo kukua hivyo unabidi usacrifice baadhi ya vitu
 
Mcheki huyu ustaadh anaweza kukusaidia....

20160608_175413.jpg
 
Nguzo za simu/umeme zina kazi ya matangazo huria only in Africa hii kitu
 
Anza kwa kurekebisha penzi lako na mkeo.....
Mtoe out, mpe zawadi, msifie sifie hata kinafiki....
Msaidie vjikazi vidogo....
Mnunulie manukato mzuri, mafnye awe mpya kwako..,..mpe show ya ukweli....

Kisha rudi hapa utupe mrejesho
kwa huyu huyu mke wangu hayo maigizo bado nitarudi na post hii sitapata jipya
 
Ulijifunga kifungoni mwenyewe mkuu usilalamike. Ila kumbuka pia kuna UKIMWI na mengine huko nje afu ndo kukua hivyo unabidi usacrifice baadhi ya vitu
ukimwi humpata yoyote hata kama uko na mmoja.
 
Id el hajj wanajukwaa.
Baada ya salam, niende moja kwa moja kwenye mada kuwa nifanyeje nipendwe kama zamani maana naona kuoa imekuwa namna ya kukosa upendo kwa mke sababu ya mazoea, mademu wengi ukiwatongoza wanasema tunamwogopa mkeo japo siyo tishio, yaani hata uhuru wenyewe wa kutongoza sina nikiwaza hilo jibu, hata sound zimeshapotea!

Yaani love imepotea kama pesa za Magufuli mtaani. Au nitimue mke nirudi ujanani? No love at all. Kweli mke mmoja anadumaza akili! Kuna kipindi nikiwa wa umri fulani nilikuwa nashabikia sana ndoa za mkataba kama mwaka au miaka miwili, ila wakati wa kuoa hilo wazo sikulikumbuka naona linanirudia kwa kasi na kuona umuhimu wa ndoa za mkataba. Namiss ladha tofauti za mautamu toka kwa mademu tofauti. Mautamu simaanishi tu sex, i mean hata ule uhuru wa kuchat, jokes, kukutana sehemu na ku share hata stories. Hivi ndoa ni jela ee? Nafikiria kumkimbia mke ama nimtimue tukutane fainali uzeeni.
We mpende tu mkeo. Mbona yeye anakupenda. Utafanya moyowake kufunguka zaidi kwako. Yaani atakupa vyote hivyo bila ya hiyana
 
Pamoja na utapeli wao bado nadhani wanatumiwa sana na watu hususan wanawake wanaotafuta dawa za mapenzi.

Daima mwanamke atakuwa kiumbe dhaifu tu.
hao wanawake ndo hutapeliwa vizuri ndo wanaishiwa kuchezewa na kuachwa
 
Back
Top Bottom