Nifanyeje nifungwe marekani kifungo cha miaka 4 i mean hadi 2020?

mkuu kwani wewe uko wapi/?/?
kama uko bongo hata ufanye nini lazima utaozea segerea tu,,
huwezi kutuacha tuisome namba sisi wenyewe kama ni kumchagua tulimchagua wenyewe
kwahio usitutoroke acha tunyooke pamoja
Weeeee
Weeeeeeeerr
Mi sikumchagua haaaata
Ngoja wajuzi waje ntajua tu
 
tafuta mtoto wa kizungu oa tia mimba halafu atangulie usa kisha akutumie nauli umfate nenda chuga wapo wengi sana mtaji ni kufuga rasta tu
Hili nalo wazo ila sasaa wazunguuuu
Mh kumpata naye adi akupe papuchi yake mhhh
Mfanye alafu na mimba apate mhhh
They are very carefuly
Asante kwa ushauri lakini unafaa kama nikikosa mwingine
 
Kuna mtu mmoja mweusi aliwahi kusema bora angezaliwa mbwa marekani kuliko alivyozaliwa binadamu Tanzania.
 
Nenda Marekani kisha fanya reverse prison break.

Yaani badala ya ku break out una break in. Ukifika huko mtafute mtu anaitwa Wentworth Miller atakusaidia kwenye ku plan.
 
mkuu kwani wewe uko wapi/?/?
kama uko bongo hata ufanye nini lazima utaozea segerea tu,,
huwezi kutuacha tuisome namba sisi wenyewe kama ni kumchagua tulimchagua wenyewe
kwahio usitutoroke acha tunyooke pamoja
na serekali izuie watu kutoka nchini maana wanatuacha tuisime namba wenyewe
 
Back
Top Bottom