CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,087
- 23,867
Katika Maeneo yananipasua Kichwa eneo la Finishing ya nyumba ni Milango.
Yani kuna wakati natamani kuweka hata mabati, ilimradi Mlango
Naomba Wazoefu eneo hili mnisaidie Huwa mnafanyaje mkifika eneo la KUWEKA milango nyumba.
Gharama za mlango Mmoja Wa Mbao ya Mkongo inafika hadi 1m na zaidi.
Nyumba yenye Milango 6 maana yake inatoka sio chini ya 6m.
Hapo Hujaenda GETINI kuandaa GETI...
Upande Wa GETI huwa sipati shida kwani najiandaaga kwa Kununua MABATI,Square Pipe,vinatulia kusubiri Muda napata hela kisha naita Fundi Geti linapatikana.
Kwenye MILANGO naombeni mnisaidie mawazo mliyotumia
Binafsi nawaza kukusanya mbao kama mbao kisha baadae nije tengeneza Mlango, Hii imekaaje kuhusu Ubora na Gharama ndugu zangu,kuna kitu ntaokoa au ni yale yale?
Kuna milango ya Chuma Naombeni msiiiweke katika OPTIONS naombeni mnisaidie kuokoa gharama kwenye Milango ya Mbao tu.
Kama Kuna Fundi Pia au Muuza Mbao naomba ajitokeze, Msaada wenu tafadhali.
Yani kuna wakati natamani kuweka hata mabati, ilimradi Mlango
Naomba Wazoefu eneo hili mnisaidie Huwa mnafanyaje mkifika eneo la KUWEKA milango nyumba.
Gharama za mlango Mmoja Wa Mbao ya Mkongo inafika hadi 1m na zaidi.
Nyumba yenye Milango 6 maana yake inatoka sio chini ya 6m.
Hapo Hujaenda GETINI kuandaa GETI...
Upande Wa GETI huwa sipati shida kwani najiandaaga kwa Kununua MABATI,Square Pipe,vinatulia kusubiri Muda napata hela kisha naita Fundi Geti linapatikana.
Kwenye MILANGO naombeni mnisaidie mawazo mliyotumia
Binafsi nawaza kukusanya mbao kama mbao kisha baadae nije tengeneza Mlango, Hii imekaaje kuhusu Ubora na Gharama ndugu zangu,kuna kitu ntaokoa au ni yale yale?
Kuna milango ya Chuma Naombeni msiiiweke katika OPTIONS naombeni mnisaidie kuokoa gharama kwenye Milango ya Mbao tu.
Kama Kuna Fundi Pia au Muuza Mbao naomba ajitokeze, Msaada wenu tafadhali.