Nifanyeje Kupunguza Gharama za Milango?

Nifanyeje Kupunguza Gharama za Milango?

CONTROLA

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2019
Posts
7,087
Reaction score
23,867
Katika Maeneo yananipasua Kichwa eneo la Finishing ya nyumba ni Milango.

Yani kuna wakati natamani kuweka hata mabati, ilimradi Mlango

Naomba Wazoefu eneo hili mnisaidie Huwa mnafanyaje mkifika eneo la KUWEKA milango nyumba.

Gharama za mlango Mmoja Wa Mbao ya Mkongo inafika hadi 1m na zaidi.

Nyumba yenye Milango 6 maana yake inatoka sio chini ya 6m.

Hapo Hujaenda GETINI kuandaa GETI...

Upande Wa GETI huwa sipati shida kwani najiandaaga kwa Kununua MABATI,Square Pipe,vinatulia kusubiri Muda napata hela kisha naita Fundi Geti linapatikana.

Kwenye MILANGO naombeni mnisaidie mawazo mliyotumia

Binafsi nawaza kukusanya mbao kama mbao kisha baadae nije tengeneza Mlango, Hii imekaaje kuhusu Ubora na Gharama ndugu zangu,kuna kitu ntaokoa au ni yale yale?

Kuna milango ya Chuma Naombeni msiiiweke katika OPTIONS naombeni mnisaidie kuokoa gharama kwenye Milango ya Mbao tu.

Kama Kuna Fundi Pia au Muuza Mbao naomba ajitokeze, Msaada wenu tafadhali.

milango_ya___mbao_tz-20250507-0001.jpg
 
Katika Maeneo yananipasua Kichwa eneo la Finishing ya nyumba ni Milango.

Yani kuna wakati natamani kuweka hata mabati, ilimradi Mlango

Naomba Wazoefu eneo hili mnisaidie Huwa mnafanyaje mkifika eneo la KUWEKA milango nyumba.

Gharama za mlango Mmoja Wa Mbao ya Mkongo inafika hadi 1m na zaidi.

Nyumba yenye Milango 6 maana yake inatoka sio chini ya 6m.

Hapo Hujaenda GETINI kuandaa GETI...

Upande Wa GETI huwa sipati shida kwani najiandaaga kwa Kununua MABATI,Square Pipe,vinatulia kusubiri Muda napata hela kisha naita Fundi Geti linapatikana.

Kwenye MILANGO naombeni mnisaidie mawazo mliyotumia

Binafsi nawaza kukusanya mbao kama mbao kisha baadae nije tengeneza Mlango, Hii imekaaje kuhusu Ubora na Gharama ndugu zangu,kuna kitu ntaokoa au ni yale yale?

Kuna milango ya Chuma Naombeni msiiiweke katika OPTIONS naombeni mnisaidie kuokoa gharama kwenye Milango ya Mbao tu.

Kama Kuna Fundi Pia au Muuza Mbao naomba ajitokeze, Msaada wenu tafadhali.

View attachment 3330414
wanakuja Mkuu.
 
Katika Maeneo yananipasua Kichwa eneo la Finishing ya nyumba ni Milango.

Yani kuna wakati natamani kuweka hata mabati, ilimradi Mlango

Naomba Wazoefu eneo hili mnisaidie Huwa mnafanyaje mkifika eneo la KUWEKA milango nyumba.

Gharama za mlango Mmoja Wa Mbao ya Mkongo inafika hadi 1m na zaidi.

Nyumba yenye Milango 6 maana yake inatoka sio chini ya 6m.

Hapo Hujaenda GETINI kuandaa GETI...

Upande Wa GETI huwa sipati shida kwani najiandaaga kwa Kununua MABATI,Square Pipe,vinatulia kusubiri Muda napata hela kisha naita Fundi Geti linapatikana.

Kwenye MILANGO naombeni mnisaidie mawazo mliyotumia

Binafsi nawaza kukusanya mbao kama mbao kisha baadae nije tengeneza Mlango, Hii imekaaje kuhusu Ubora na Gharama ndugu zangu,kuna kitu ntaokoa au ni yale yale?

Kuna milango ya Chuma Naombeni msiiiweke katika OPTIONS naombeni mnisaidie kuokoa gharama kwenye Milango ya Mbao tu.

Kama Kuna Fundi Pia au Muuza Mbao naomba ajitokeze, Msaada wenu tafadhali.

View attachment 3330414
Wahindi mbona hawawazi haya mambo ya milango. Na wanaenjoy maisha kwenye nyumba za msajili
 
Ni aina ya mllango fulani ambayo imetengenezwa na material ya chuma na bati na ukiweka hautahitaji kuweka mageti au grill. Pia Ina muonekano mzuri sana inapatikana kwenye hardware kubwa kariakoo. uliza security door za nje watakuonyesha.
Inapiga kelele sipend japo ni mizur Kwa uimara ila kelele zake ukiingia unasikika ukitoka ivoivo
 
Mbao za kawaida mmh ila Kwa choon ungewek milango ya aluminium naona ni mizur sana Kwa milango ya kawaida ukiweka bafun ama choon Kwa mda flan inapuputika sehem za chin zilizopita maji mda mrefu na kuoza
 
kama una jamaa kati ya tabora, goweko na mpanda jaribu kumcheki maana kwa maeneo hayo milango ya mninga/mkongo/mkurungu inapatikana kwa bei rahisi sana na taratibu za usafiri unatumia trc ambao bei yao ni ndogo sana.
Toa mawasiliano
 
Ni aina ya mllango fulani ambayo imetengenezwa na material ya chuma na bati na ukiweka hautahitaji kuweka mageti au grill. Pia Ina muonekano mzuri sana inapatikana kwenye hardware kubwa kariakoo. uliza security door za nje watakuonyesha.
Hapo sasa inategemea ndani kuna nini. Sasa kama umeweka debe la mahindi na kiloba cha mkaa hayo yote ya nini?
 
Katika Maeneo yananipasua Kichwa eneo la Finishing ya nyumba ni Milango.

Yani kuna wakati natamani kuweka hata mabati, ilimradi Mlango

Naomba Wazoefu eneo hili mnisaidie Huwa mnafanyaje mkifika eneo la KUWEKA milango nyumba.

Gharama za mlango Mmoja Wa Mbao ya Mkongo inafika hadi 1m na zaidi.

Nyumba yenye Milango 6 maana yake inatoka sio chini ya 6m.

Hapo Hujaenda GETINI kuandaa GETI...

Upande Wa GETI huwa sipati shida kwani najiandaaga kwa Kununua MABATI,Square Pipe,vinatulia kusubiri Muda napata hela kisha naita Fundi Geti linapatikana.

Kwenye MILANGO naombeni mnisaidie mawazo mliyotumia

Binafsi nawaza kukusanya mbao kama mbao kisha baadae nije tengeneza Mlango, Hii imekaaje kuhusu Ubora na Gharama ndugu zangu,kuna kitu ntaokoa au ni yale yale?

Kuna milango ya Chuma Naombeni msiiiweke katika OPTIONS naombeni mnisaidie kuokoa gharama kwenye Milango ya Mbao tu.

Kama Kuna Fundi Pia au Muuza Mbao naomba ajitokeze, Msaada wenu tafadhali.

View attachment 3330414
Nitarudi
 
Back
Top Bottom