Nifanyeje ili Niweze Kupata Usingizi!?

Nifanyeje ili Niweze Kupata Usingizi!?

Pole sana lakini nina imani mwisho wa hayo yote unakaribia, usiwaze sana, jipe muda wa kuenjoy hata kwa kufosi.
Asaante,,, najitahidi kuilazmsha furaha ingawaje akili yang ngumu kupokea furaha ikiwa moyo unavuja masononeko
 
Kama ni ME tafuta KE piga bao 3 tu lazima ulale doro kabisa.
Ukishindwa kulala baada ya mbinu hiyo wewe sio mtu ni kibwengo.
Uchumi umenichumu sana kiasi kwamba ata hyo hela ya kugongea ni kipengele.
 
Make your father proud, move on. Hata yeye halikua na baba pengine alimpoteza ndio utaratibu kaka. Kuendelea kuomboleza hali ya kuwa matanga yalishapita ni tatizo. Naamini furaha yake ilikuanikuona unasonga mbele. Ishi ushauri wake na matendo yake mema hicho ndicho kikubwa. Kuendelea kusikiliza nyimbo hizo wakati wenyewe wameshatoa hadi kibamia nikuishi nyuma ya muda.
MUNGU AKUTIE NGUVU MWAMBA, BABA ALIZAA SHUJAA MWANAUME NOT OTHERWISE. REST IN PEACE TO YOUR DADY
 
RDT_20210821_1238162548087859012708509.png
 
Back
Top Bottom