WAKU-GOOGLE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2015
- 950
- 623
Si umwambie akuoneshe mwenzio ili ujue anaonekanaje na wewe ujiweke vile
Sent using Jamii Forums mobile app
Si umwambie akuoneshe mwenzio ili ujue anaonekanaje na wewe ujiweke vile
Nimepata mchumba, kwa kweli ananipenda sana na hanisumbui hata kidogo.
Malalamiko yake ni kuwa siko nadhifu.
Nimejaribu kununua nguo mpya, boxer, soksi, viatu na mikanda.
Nanyoa ndevu na nywele mara kwa mara.
Nina deodorant na body spray pia perfumes, lakini bado hajaridhika na kiwango changu cha utanashati.
Nifanyeje jamani?
Kuna miili naturally haipendezi, Kama wa Kangi Lugola, John Komba etcPole sana kwa changamoto mkuu.
Kiufupi vijana weng i wenye mawazo kama yako huwa wanakwama sana linapo kuja swala la unadhifu. Kuwa na nguo mpya haimaanishi basi utaonekana nadhifu, na pengie inaweza ikawa kinyume chake na ukaonekana mshamba. Na hata matumizi ya marashi na unyunyuwi vinaweza badilika na ukajikuta unatoa harufu kmbaya.
FANYA HAYA ILI UONEKANE NADHIFU:
1. Hakikisha unanunua nguo zinazo kutosha na kukukaa vizuri ukizingatia body structure ya mwili wako.
2. Zingatia rangi za nguo na viatu unavyo nunua kwa kuangalia rangi ya ngozi yako.
3. Zingatia aina ya kunyoa kwa kuangalia umbo la kichwa chako.
4. Hakikisha unatembea na kuongea viendane na jinsi ulivyo vaa.
5. Viatu na mkanda ni vitu vya muhimu sana kuzingatia ili kunogesha unadhifu wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, kwahivyo unamaanisha kwamba watu wafupi hawajawahi kuwa nadhifu...??Kama wewe mfupi hata usijisumbue coz hata ufanye nini huwez kuonekana nadhif
Ndio hawajawahi. Hata wakijaribu hawawezi kuwa nadhif. Hawapendezi.Mkuu, kwahivyo unamaanisha kwamba watu wafupi hawajawahi kuwa nadhifu...??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna miili naturally haipendezi, Kama wa Kangi Lugola, John Komba etc
Ohh yesFact mkuu.
Wakati wengine ni kama hanger, hata tukivaa gunia tunapendeza.😅
Sweet koma bwana kunichekesha mm jaman dah..nimecheka..hizo suruali zipo hukj..za kitambaaa paaaanaaaa🤣🤣🤣🤣Heci,
Isije kuwa unanunua mitumba oversize mguu wa suruali mtu anaeza vaa kama skirt unasema nguo mpya
Kuna miili naturally haipendezi, Kama wa Kangi Lugola, John Komba etc