Nifanyeje ili niwe mmiliki halali wa kiwanja kisichopimwa?

Prince Mhando

JF-Expert Member
Mar 25, 2014
9,278
11,524
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza nina kiwanja hapa Dar es salaam ila kiwanja hiko kipo katika eneo ambalo kuna makazi lakini maeneo hayo hayajapimwa.

Kiwanja changu kimezungukwa na nyumba/makazi ya watu wengine mimi tuu ndio sijaweka kibanda.

Je ni hatua gani nifuate ili nipate hati miliki ya eneo hilo ili niweze kupata huduma nyingine kama mikopo....zaidi ya hati za mauziano sina kielelezo chochote kingine juu ya hicho kiwanja.

Wataalam naombeni ujuzi hapo
 
Tupo wengi kaka hili jiji wamezembea kupima viwanja vya makazi mpaka tumenunua mashamba kienyeji, wamezoea kuvunja nyumba wanasubiri zitimie idadi
sijui tufanyaje mzee mwenzangu maana nimesikia tangazo maeneo yaliokaa muda mrefu bila kuendelezwa yatapewa watu wengine
 
Pata mukhtasari kutoka kwenye kata
Ambatanisha na batua prleka kwenye halmashauri yako

Meanwhile tafuta mtu wa ardhi akuchekie coordinates kama ulipo pamepangiwa nini

Kule kuna mifomu ya kujaza....

Na kujazisha majirani etc etc

Anzia hapo.....
 
Kabla ya kupimwa nenda ardhi waangalie usijekuta wamekuuzia viwanja vya makaburi kama taasisi yetu ya bwm
 
Pata mukhtasari kutoka kwenye kata
Ambatanisha na batua prleka kwenye halmashauri yako

Meanwhile tafuta mtu wa ardhi akuchekie coordinates kama ulipo pamepangiwa nini

Kule kuna mifomu ya kujaza....

Na kujazisha majirani etc etc

Anzia hapo.....
asante mzee mwenzangu Akuna gharama zozote maana pochi haijatuna
 
Gharama zipo jiandae kila hatua....kumleta jamaa wa ardhi tu ili acheki kiwanja kipo eneo lililopangiwa nini ni gharama......
asante mzee mwenzangu....umenipa mwangaza sikujua cha kufanya ila ngoja nianze kama ulivyo nielekeza nitakuletea feedback....kukujurisha nilipofikia
 
Kabla hujaanzisha Uzi, ni bora ukatafuta humu ndani kama kuna hoja kama yako iliyojadiliwa kabla...kila kitu kipo humu.
HUOO MUDAA MNAUPATAA WAPII KABURU ACHENI KUANDIKA VITUKO....

THREAD ZA JAN MWAKAJANA NANI AANZW TAFUTA ....NDIO MAANA TUNAFANYA TEST KABLA YA MTIHANI UNAITAJI KUREVIEW KILA MARA SO UKIONA POST INAJIRUDIA WE PATA AKILI ZAIDI MAWAZO YA MWAKAJANA SIO KAMA YAMWAKAHUU
 
HUOO MUDAA MNAUPATAA WAPII KABURU ACHENI KUANDIKA VITUKO....

THREAD ZA JAN MWAKAJANA NANI AANZW TAFUTA ....NDIO MAANA TUNAFANYA TEST KABLA YA MTIHANI UNAITAJI KUREVIEW KILA MARA SO UKIONA POST INAJIRUDIA WE PATA AKILI ZAIDI MAWAZO YA MWAKAJANA SIO KAMA YAMWAKAHUU
mambo yanabadilika kweli mzee mwenzangu hapo bi points
 
Kabla hujaanzisha Uzi, ni bora ukatafuta humu ndani kama kuna hoja kama yako iliyojadiliwa kabla...kila kitu kipo humu.


Jamii forum ni search engine? Kazi za mods umu ndani ni pamoja na kuunganisha nyuzi zinazofanana, by the way ukisearch umu kama hujaandika post au thread inayoendana inakua ni vigumu kupata unachotafuta.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom