Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,891
- 155,907
Nimechoka na maisha ya dhambi sasa nataka nishike dini niwe mtu safi.
Ila ninaogopa sana kichaa cha dini, dini inaleta kichaa kibaya.
Walijitolea kwenda kufa kwa njaa ili waende mbinguni ni vichaa.
Waliokubali kuchomwa moto na Kibwetere ni vichaa.
Walioenda Airport wakitegemea wataenda Ulaya na mataifa mengine kuhubiri bila hata ya kuwa na passport, boarding pass, na visa ni vichaa.
Wanaoua wengine kwa kuwalipua mabomu na wao kujitoa muhanga ni vichaa.
Sitaki kuwa kichaa, ila nataka kuwa na mahusiano ya karibu sana na Mungu wangu.
Ila ninaogopa sana kichaa cha dini, dini inaleta kichaa kibaya.
Walijitolea kwenda kufa kwa njaa ili waende mbinguni ni vichaa.
Waliokubali kuchomwa moto na Kibwetere ni vichaa.
Walioenda Airport wakitegemea wataenda Ulaya na mataifa mengine kuhubiri bila hata ya kuwa na passport, boarding pass, na visa ni vichaa.
Wanaoua wengine kwa kuwalipua mabomu na wao kujitoa muhanga ni vichaa.
Sitaki kuwa kichaa, ila nataka kuwa na mahusiano ya karibu sana na Mungu wangu.