Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,845
- Thread starter
- #61
kukosa kwako hela kumeshakuathiri kisaikolojia naonaUngekuwa una pesa usingewaza upumbavu .
kukosa kwako hela kumeshakuathiri kisaikolojia naonaUngekuwa una pesa usingewaza upumbavu .
Kumbe hana mbususu😲😲😲😲Kwani coca ana mbususu? 🤣🤣🤣🤣
Wewe ni dume, au wanakugida nini! Unakumbuka zamani ulijiita Mr. Gadaf? Na hapa ulikuwa unaongea kama mwanaume"Huyu kaka tulifahamiana tangu nilipokuwa form three, tulikuwa na ukaribu tu wa kawaida hatukuwa na mahusiano yoyote kwa kipndi hicho, lakini siku zilivyozidi kwenda nilianza kumpenda kutokana na ukarimu wake.
Siku moja alinitongoza kama utani utani lakin mim ndo nilikuwa nishampenda haswaa nilimkubalia japo ni kama hakuwa serious sana ili mm nilimpenda sana. tuliendelea kuwa na ukaribu nikijivunia kuwa nae.
Aliniahidi kunioa lakini haikuwa hivyo baada ya familia ya upande wangu kuinglia kati mahusiano yetu
Niseme tu ukweli huyo kaka alikuwa wa kwanza kumpenda na mpaka leo sijawahi kumpenda mwanaume yeyote zaidi au kama nilivyompenda yeye
Tulifanya mengi lakini hatukuwahi kufanya sex hata mara moja kwa kipndi chote hicho. kwasasa niko mbali naye huwa nawasiliana nae mara chache. Ahadi zetu zilishakuwa batili lakini kinachonitesa ni kwamba nashindwa kumtoa akilini mwangu kabisa yaani akili yangu haitaki kukubali kwamba nishamkosa
Nfanyeje ili nimsahau na niweze kuwa huru khisia?" ok subiri majibu
mbona una hasira?! Kinachokuuma nini? ipo siku nitaongea kama robot ili ufe kabisaWewe ni dume, au wanakugida nini! Unakumbuka zamani ulijiita Mr. Gadaf? Na hapa ulikuwa unaongea kama mwanaume
Dume unampenda mkaka! Acha hizo, waachie akina cocasticmbona una hasira?! Kinachokuuma nini? ipo siku nitaongea kama robot ili ufe kabisa
Yeaaah!!!hiiiiiiiiii!!![]()
Ndo maana akee.Kumbe wenye sura pesono mkombozi wetu ni hela
Mmh Hilo swali🙄🙄🙄🙆🙆Kumbe nampenda kuchakatwa sasa kwa nini mbususu mkiambiwa mtoe hamtoi
Kuna mbuzi ilishaganitesa Sana miaka kibao haitoki akilini....Ila baadae niliisahau kabisa yaani

Injinia mimi na wewe hatuzuliani au siyoUnanipendaaa sanaaa eeeh?? Bila mie hupumui wala hukohoi? Haya relaaaaxx sasa.
Mbususu aitoe wapi! Hilo Dume kama wewe. Limekimbia kwa M7 hukoKumbe nampenda kuchakatwa sasa kwa nini mbususu mkiambiwa mtoe hamtoi
Mnataka wauliwe ili tupashe wapi viporo??Ewaaaaah ma ex wote wauliwe tu.
Ila na sisi ni ma ex wa watu sijui haya mauwaji yatatukuta na sisi![]()
Mpe mwingine nafasi utamsahau tu"Huyu kaka tulifahamiana tangu nilipokuwa form three, tulikuwa na ukaribu tu wa kawaida hatukuwa na mahusiano yoyote kwa kipndi hicho, lakini siku zilivyozidi kwenda nilianza kumpenda kutokana na ukarimu wake.
Siku moja alinitongoza kama utani utani lakin mim ndo nilikuwa nishampenda haswaa nilimkubalia japo ni kama hakuwa serious sana ili mm nilimpenda sana. tuliendelea kuwa na ukaribu nikijivunia kuwa nae.
Aliniahidi kunioa lakini haikuwa hivyo baada ya familia ya upande wangu kuinglia kati mahusiano yetu
Niseme tu ukweli huyo kaka alikuwa wa kwanza kumpenda na mpaka leo sijawahi kumpenda mwanaume yeyote zaidi au kama nilivyompenda yeye
Tulifanya mengi lakini hatukuwahi kufanya sex hata mara moja kwa kipndi chote hicho. kwasasa niko mbali naye huwa nawasiliana nae mara chache. Ahadi zetu zilishakuwa batili lakini kinachonitesa ni kwamba nashindwa kumtoa akilini mwangu kabisa yaani akili yangu haitaki kukubali kwamba nishamkosa
Nfanyeje ili nimsahau na niweze kuwa huru khisia?" ok subiri majibu
Nfanyeje ili nimsahau na niweze kuwa huru khisia?" ok subiri majibu
Usinisahau, tulishakuwa marafiki tu."Huyu kaka tulifahamiana tangu nilipokuwa form three, tulikuwa na ukaribu tu wa kawaida hatukuwa na mahusiano yoyote kwa kipndi hicho, lakini siku zilivyozidi kwenda nilianza kumpenda kutokana na ukarimu wake.
Siku moja alinitongoza kama utani utani lakin mim ndo nilikuwa nishampenda haswaa nilimkubalia japo ni kama hakuwa serious sana ili mm nilimpenda sana. tuliendelea kuwa na ukaribu nikijivunia kuwa nae.
Aliniahidi kunioa lakini haikuwa hivyo baada ya familia ya upande wangu kuinglia kati mahusiano yetu
Niseme tu ukweli huyo kaka alikuwa wa kwanza kumpenda na mpaka leo sijawahi kumpenda mwanaume yeyote zaidi au kama nilivyompenda yeye
Tulifanya mengi lakini hatukuwahi kufanya sex hata mara moja kwa kipndi chote hicho. kwasasa niko mbali naye huwa nawasiliana nae mara chache. Ahadi zetu zilishakuwa batili lakini kinachonitesa ni kwamba nashindwa kumtoa akilini mwangu kabisa yaani akili yangu haitaki kukubali kwamba nishamkosa
Nfanyeje ili nimsahau na niweze kuwa huru khisia?" ok subiri majibu