Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 1,266
- 2,381
Wanataka mbususu zao ulipie kwanza, Zina vat na kodi ๐๐๐๐Kumbe nampenda kuchakatwa sasa kwa nini mbususu mkiambiwa mtoe hamtoi
Wanataka mbususu zao ulipie kwanza, Zina vat na kodi ๐๐๐๐Kumbe nampenda kuchakatwa sasa kwa nini mbususu mkiambiwa mtoe hamtoi
๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃNjoo kwangu na mimi ni kama wewe tu
Ukijichanganya unawezajikuta unafika kwa mpalange bila kutarajia.Kuna ID nyingine ni complicated sana..!
Sasa hawasemi hiyo bei yenyeweWanataka mbususu zao ulipie kwanza, Zina vat na kodi ๐๐๐๐
Ma ex wanatesa sana nashauri wote wauawe
Kwa sababu sex nje ya ndoa ni haramu na chukizo kwa Muumba.kwanini hamkufanya sex?? tuanzie hapo....
Ngoja tufikishe ujumbe kwao, wafikie bei elekezi... ๐๐Sasa hawasemi hiyo bei yenyewe
Ewaaaaah ma ex wote wauliwe tu.
Ila na sisi ni ma ex wa watu sijui haya mauwaji yatatukuta na sisi
Alokwambia ni wa kike nani???ingia mkenge tuuMtoto wa kike unajiita ghadafi
Ilo dumeAlokwambia ni wa kike nani???ingia mkenge tuu
Ana haki ya kukuacha. Na inaonekana ulikuwa msumbufu sana kwake. Kwa nini ulikuwa hutaki kumpa mbichi/mzigo muda wote huo?"Huyu kaka tulifahamiana tangu nilipokuwa form three, tulikuwa na ukaribu tu wa kawaida hatukuwa na mahusiano yoyote kwa kipndi hicho, lakini siku zilivyozidi kwenda nilianza kumpenda kutokana na ukarimu wake.
Siku moja alinitongoza kama utani utani lakin mim ndo nilikuwa nishampenda haswaa nilimkubalia japo ni kama hakuwa serious sana ili mm nilimpenda sana. tuliendelea kuwa na ukaribu nikijivunia kuwa nae.
Aliniahidi kunioa lakini haikuwa hivyo baada ya familia ya upande wangu kuinglia kati mahusiano yetu
Niseme tu ukweli huyo kaka alikuwa wa kwanza kumpenda na mpaka leo sijawahi kumpenda mwanaume yeyote zaidi au kama nilivyompenda yeye
Tulifanya mengi lakini hatukuwahi kufanya sex hata mara moja kwa kipndi chote hicho. kwasasa niko mbali naye huwa nawasiliana nae mara chache. Ahadi zetu zilishakuwa batili lakini kinachonitesa ni kwamba nashindwa kumtoa akilini mwangu kabisa yaani akili yangu haitaki kukubali kwamba nishamkosa
Nfanyeje ili nimsahau na niweze kuwa huru khisia?" ok subiri majibu