Nifanye nini tena labda mnishauri

Nifanye nini tena labda mnishauri

Status
Not open for further replies.

Aysher25

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2016
Posts
1,763
Reaction score
3,074
Nilikuwa single kwa muda mrefu sikuwa na imani na wakaka hata kidogo. Mwez jana nikakutana na mkaka mstaarabu na mwenye akili ya maisha alinivutia sana kwa maana alikuwa anahitaji mwanamke wa maisha halikadhalika mimi.

Nikajikuta nimezama kwa kipindi kifupi ndani ya wiki 2 nilijikuta nimemuamini

Ghafla tu akaacha kupokea simu zangu na kutojibu ujumbe
Sikukata tamaa nilimtafuta tena kwa upole sana maana sikujua kosa langu na hatukugombana

Duuuuh sikuamini text yake ya mwisho ilinihuzunisha saaaaanaaa "Its over..kwasasa siko tayari kuwa katika mahusiano"
Nawaza sijui nini nimemfanyia nakosa amani na naogopa kumsumbua zaid nahisi atanichukia.
 
Mmmh ... Pole sana mama hawa watu sio wa kuwaamini hata akijifanya mstaarabu vipi
 
Ok sawa chumbani ulimpa mchezo, je ulikuwa na ubunifu kidogo au ulikuwa kama gogo? au mapungufu mengine mengine mfano kuomba omba pesa, au maumbile ya K

Wakati mwingine boys tuna hope too much ila tunapoteza dira baada ya kutaste ladha ukaikuta ipo tofauti na ulivyotegemea. Tunakata tamaa mapema kabla hatujakupotezea muda
 
wanaume wengi wako hivi.
ukimwonjesha ndio umemtimua ataanza kuogopa kupigwa vizinga na kupigiwa simu maana wengine ni waume za watu!alichokuwa anatafuta amekipata.mwanaume yuko tofauti huwa anatamani kisha ndio anakuja kupenda.unaweza kujihisi labda una kasoro ndio sababu lakini hapana ukifikiria hivyo utazidi kuwaonjesha kama muuza karanga mwisho wa siku hakuna hata mmoja atanunua karanga zako.watakwambia mara zimeungua au hazijaiva vizuri.pole sana subiri tu ipo siku utapata soulmate wako
 
Duuuhhhh kazi kweli kweli.

Usisumbuke kuusemea moyo wa mtu. Muhimu ni kutafuta "majukwaa" ya kukusaidia kukutana na aina ya mtu unaemhitaji.

Mungu akutangulie ktk hilo
 
wanaume wengi wako hivi.
ukimwonjesha ndio umemtimua ataanza kuogopa kupigwa vizinga na kupigiwa simu maana wengine ni waume za watu!alichokuwa anatafuta amekipata.mwanaume yuko tofauti huwa anatamani kisha ndio anakuja kupenda.unaweza kujihisi labda una kasoro ndio sababu lakini hapana ukifikiria hivyo utazidi kuwaonjesha kama muuza karanga mwisho wa siku hakuna hata mmoja atanunua karanga zako.watakwambia mara zimeungua au hazijaiva vizuri.pole sana subiri tu ipo siku utapata soulmate wako
Ahsante saaaana
 
Yaan hapo umetoka shimoni... ukadumbukia tena shimoni. Ushauri wangu embu this tyme tulia. Kama ameamua kukuacha.. achana nae.. japo inauma.. lakin kubali. Jipange.., fanya maombi sana.. mshirikishe Mungu.. atakupa mtu sahihi kwa ajili yako
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom