Unajua maana ya kutulia wewe?Yani umewapata wa3 alafu unasema wametulia
Kwamba wewe kama wamekukubalia hawawezi kuwakubalia wengine??
Kutulia sio kwamba hawasasambuliwi mbususu na wengine bali ni kwamba wao hawataki stress za kijinga za kunatana. Sie tunaenjoy life tuu na kila mtu yupo huru kuonja tamuuu zingine.