Nifanye nini niwe na furaha?

Nifanye nini niwe na furaha?

Mkuu hata kinachoninyima amani sijui ni kipi na hii inanipa mawazo zaidi
Najua hujui, hebu soma nilichoandika.

Mimi sijasema unajua kinachokutatiza. Ila nimesema mtu anahitaji kujua maisha yako ya nyuma au malezi kabla hajakupa ushauri
 
Habari wana jukwaa, Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini. Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani. Nawasilisha.
 
Najua hujui, hebu soma nilichoandika.

Mimi sijasema unajua kinachokutatiza. Ila nimesema mtu anahitaji kujua maisha yako ya nyuma au malezi kabla hajakupa ushauri
Niko between 20-24
Najitegemea na kuishi mwenyewe background yangu ni nzuri,
Sina ninachokosa tofauti na furaha na amani.

Sijawahi kukutana na jambo lolote nyuma ambalo limesumbua maisha yangu tofauti na sasa.

Mda mwingine nadhani ni mapenzi ila sina tatizo lolote na mpenzi.

Huku ninapoelekea naona kama sihitaji kukutana na mtu hata njiani na inapelekea hata kazi ninayofanya niishindwe kuitekeleza.
 
kuna kitu inaitwa LOW SELF ESTEEM ndio inakusumbua.hilo ni tatizo la kiakili jaribu kutafuta consultant akusaidie!!inasumbua vijana wa sasa kuliko sisi wa zamani.
 
hakuna kitu kizuri duniani kama ukaweza kuifanya nafsi yako ikinai(itosheke)hili jambo limewashinda wengi sababu hatataki kuukubali ukweli na kulazmisha yaliyo nje wa uwezo ikiwemo kutaka kujifananisha na wengine.bado tupo na challenge kubwa sana kwa kizazi hiki kupenda usupastaa bila kutoka jasho.my friend live your life to the fullest.mbona ukiishi kiuhalisia wako haya maisha ni matam mno!!shida mnapenda ku FAKE na ndio maana nikaongelea LOW SLF ESTEEM hili ni tatizo kubwa sana linawapa furastresheni sana.embu we dogo nitafute bure nikupe maujanja uishi kwa amani hapa duniani.acha kuwaza vitu havipo.maana akili ya binadam huwa inawaza upuuzi 75% kuliko vitu vya maana
 
Habari wana jukwaa,

Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini.

Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani.

Nawasilisha.
Wewe ni KE au ME?
 
Habari wana jukwaa,

Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini.

Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani.

Nawasilisha.
Okoka umpokee Yesu, utaipata hiyo furaha
 
Habari wana jukwaa,

Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini.

Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani.

Nawasilisha.
MT. 11:29 SUV
Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu
 
Habari wana jukwaa,

Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini.

Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani.

Nawasilisha.
Jifunze ku cheat utapata furaha tu milele na milele
 
Habari wana jukwaa,

Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini.

Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani.

Nawasilisha.
Lala barabarani kwenye msafara wa rais
 
Habari wana jukwaa,

Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini.

Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani.

Nawasilisha.
unajua unahitaji nini?
unajua utakipataje?
hupi ni mkakati wako wa kukipata?
yapi umefanikiwa?
kwanini hukufanikiwa na je kitu gani ufanye ili ufanikiwe?
haya ni maswali ya kila siku ambayo majibu yake yatakupa jinsi ya kuipata furaha
furaha ni kitu cha muda mrefu na kipo ndani ya mtu kwa jinsi ya vigezo avionavyo vyafaa tofauti na raha uwa ni kuhailisha matatizo mfano unaweza kunywa pombe upoteze mawazo halafu yenyewe yanatangulia nyumbani
 
Kula beer....
tafuta mtoto mzuri nenda kale nae beer na kitimoto utafurahi mwenyewe
furaha hujengwa kama nyumba vile
hizo zote ni Raha hakuna furaha hapo mwisho wa siku ni kuchakaza mwili na kutafuta kifo kwa haraka kama starehe zitazidi
 
Back
Top Bottom