Najua hujui, hebu soma nilichoandika.Mkuu hata kinachoninyima amani sijui ni kipi na hii inanipa mawazo zaidi
Mimi sijasema unajua kinachokutatiza. Ila nimesema mtu anahitaji kujua maisha yako ya nyuma au malezi kabla hajakupa ushauri
Najua hujui, hebu soma nilichoandika.Mkuu hata kinachoninyima amani sijui ni kipi na hii inanipa mawazo zaidi
Habari wana jukwaa, Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini. Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani. Nawasilisha.
Niko between 20-24Najua hujui, hebu soma nilichoandika.
Mimi sijasema unajua kinachokutatiza. Ila nimesema mtu anahitaji kujua maisha yako ya nyuma au malezi kabla hajakupa ushauri
Hahaha WTF!Piga puchu
Wewe ni KE au ME?Habari wana jukwaa,
Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini.
Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani.
Nawasilisha.
Okoka umpokee Yesu, utaipata hiyo furahaHabari wana jukwaa,
Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini.
Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani.
Nawasilisha.
MEWewe ni KE au ME?
MT. 11:29 SUVHabari wana jukwaa,
Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini.
Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani.
Nawasilisha.
Jifunze ku cheat utapata furaha tu milele na mileleHabari wana jukwaa,
Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini.
Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani.
Nawasilisha.
Anza kumwibia trip mwezi wako utapata furaha tu
Lala barabarani kwenye msafara wa raisHabari wana jukwaa,
Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini.
Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani.
Nawasilisha.
unajua unahitaji nini?Habari wana jukwaa,
Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini.
Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani.
Nawasilisha.
hizo zote ni Raha hakuna furaha hapo mwisho wa siku ni kuchakaza mwili na kutafuta kifo kwa haraka kama starehe zitazidiKula beer....
tafuta mtoto mzuri nenda kale nae beer na kitimoto utafurahi mwenyewe
furaha hujengwa kama nyumba vile
ILala barabarani kwenye msafara wa rais
Mkuu nipe utofauti wa Raha na Furaha.hizo zote ni Raha hakuna furaha hapo mwisho wa siku ni kuchakaza mwili na kutafuta kifo kwa haraka kama starehe zitazidi
Yes.,heals a lotMeditation🙄