Kwanini hakupi raha?
Usinifokee!Watu wanafikiri furaha inatoka kwa vitu, Furaha iko ndani yako wewe mwenyewe hata kama ungepewa wanawake wazuri kama Cleopatra wa Misri wakati ule, Huwezi kuwa na furaha kwa sababu furaha ni mchakato ambao hautokei tu.
Sijategemea hili jibu lingetoka kwako.Piga puchu
Usinifokee!
Kuna mahala popote umeona nimetoa tangazo la kutafuta furaha? Kwani wewe ni furaha?Huwezi na furaha kwa dizaini hio, pambana na hali yako
Ukiwa mwanachama wa CHAPUTA huwezi kuwa na furaha, maana kila ukimaliza kufungisha lazima ujilaumu, halafu furaha inatoweka.Habari wana jukwaa,
Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini.
Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani.
Nawasilisha.
Kuna mahala popote umeona nimetoa tangazo la kutafuta furaha? Kwani wewe ni furaha?
Ulitegemea litatoka kwa nani?Sijategemea hili jibu lingetoka kwako.

Ulitegemea litatoka kwa nani?![]()
Unahitaji counselling. NitafuteHabari wana jukwaa,
Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini.
Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani.
Nawasilisha.
Habari wana jukwaa,
Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini.
Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani.
Nawasilisha.
Duu Mimi nipo Kama wewe sijiamini Nina uoga wa maisha lakini nikila vyombo nakua amani mawazo mazuri ya maisha yanaanza kuja lakini nikamka kesho Yale Yale Tena Yana jirudia nakipato Cha kunywa kilasiku sinaHabari wana jukwaa,
Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini.
Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani.
Nawasilisha.
Ok sawa, but sijakujibu wewe, na sikumbuki kama nilishawahi kukuqouteKwa mwengine asieelewa maana ya alichokijibu.
