Nifanye nini niwe na furaha?

Nifanye nini niwe na furaha?

Habari wana jukwaa,

Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini.

Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani.

Nawasilisha.
Utakuwa unakabiliwa na ugonjwa wa Depression.. Most likely umesababishwa na kisukari.. Kapime kisukari... Hakikisha pia angalau mlo wako mmoja unahusisha mlo wa viazi (chips). Pia hakikisha kila siku unameza vidonge viwili vya Vitamin B complex.. Maziwa fresh pia muhimu.
 
U become what you think about...

U have to think and focus about happyness all the time and not else.

Pia jitahidi kufanya meditation baada ya kuamka na kabla ya kulala....tenga muda walau ata dk 3 wa Hilo zoezi,ukiwa sehemu tulivu.

Nina uhakika baada ya mwezi mmoja utaona matokeo mazuri.
 
Asante
U become what you think about...

U have to think and focus about happyness all the time and not else.

Pia jitahidi kufanya meditation baada ya kuamka na kabla ya kulala....tenga muda walau ata dk 3 wa Hilo zoezi,ukiwa sehemu tulivu.

Nina uhakika baada ya mwezi mmoja utaona matokeo mazuri.
 
Habari wana jukwaa,

Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini.

Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani.

Nawasilisha.
Nafahamu sana kwamba shetani hutumia njia nyingi kumweka mtu kwenye matatizo ili apate kumteka na kumtumia katika ufalme wake. Najua pia kuna mambo ya kijamii na kisaikolojia yanayoweza kumweka mtu pabaya akakosa raha kabisa. Kwanza ni vizuri kujua umri wako. Kati ya miaka 12-24 ni kawaida kwa watu hawa kukosa raha kwa vipindi vifupi hadi virefu. Ni kipindi kigumu cha mtu kutafuta identity yake na kila mtu anapitia hapa kwa namna tofauti. Pia kuna tatizo la kujikubali kwa watu wengi, basi jikubali jinsi ulivyo mfupi, mrefu, mzuri, mbaya, mwerevu, mjinga bado una thamani kubwa na unaweza kufanya mazuri katika jamii na kufurahia maisha yako. Mwisho nikuambie jambo moja ninaloamini sana na kufanya kila siku: sali kwa Yesu Kristo ukimweleza tatizo hilo bila kupindisha utaona matokeo.
 
Najua tunatakiwa kudeal na past ili kushughulikia na situation uliyopo saa hii.

Bila hivyo kila aliyeandika hapa ni ameandika experience yake, siyo yako.

Which is to say hawajakupa dawa bado.

A past can haunt you same kama malezi tu. These two hukaa hidden in our subconscious mind and then one day they just snap and here they are yanaanza haunting.

So naamini kwa mtu kua na cha kuongea atahitaji ujielezee, simply saying 'Sina furaha' haitadeal na mzizi.

Notice pia simaanishi lazima uwe na tatizo.
 
Kuna kitu kinakua hakipo sawa chunguza kwa makini
Habari wana jukwaa,

Moja kwa moja kwenye hoja. Kwa siku za karibuni naona nazidi kupoteza amani na furaha bila sababu. Na sina majukumu yoyote ya kutegemewa wala mawazo yoyote sijui tatizo nini.

Wajuvi wa mambo, naombeni ushauri wa kunitoa kwenye hii shida niwe na furaha na amani.

Nawasilisha.
 
U become what you think about...

U have to think and focus about happyness all the time and not else.

Pia jitahidi kufanya meditation baada ya kuamka na kabla ya kulala....tenga muda walau ata dk 3 wa Hilo zoezi,ukiwa sehemu tulivu.

Nina uhakika baada ya mwezi mmoja utaona matokeo mazuri.


Meditation🙄
 
Ushauri wenu na mawazo yananipa motisha sana
 
Najua tunatakiwa kudeal na past ili kushughulikia na situation uliyopo saa hii.

Bila hivyo kila aliyeandika hapa ni ameandika experience yake, siyo yako.

Which is to say hawajakupa dawa bado.

A past can haunt you same kama malezi tu. These two hukaa hidden in our subconscious mind and then one day they just snap and here they are yanaanza haunting.

So naamini kwa mtu kua na cha kuongea atahitaji ujielezee, simply saying 'Sina furaha' haitadeal na mzizi.

Notice pia simaanishi lazima uwe na tatizo.
Mkuu hata kinachoninyima amani sijui ni kipi na hii inanipa mawazo zaidi
 
Back
Top Bottom