Nifanye nini katika hili?

Yeye mwenyewe mtoto
Wakwe wanaitafuta wamchape eti
Mimi nadhani tunatofautiana mawazo ila uhakika wa maisha ni kuwa makini swala la udogo na ukubwa hapana ndo kama hapo sasa mimi nilichoomba ni ushauri tu ulichocomment wewe ni ipi haya sasa huo ukubwa wako haujawaza hata neno pole alafu ndo ukubwa unaousemea hapana siutaki kaa na ukubwa wako
 
Bila shaka mkeo ni kutoka mikoa ya lindi ,mtwara au pwani ikizid sana tanga
 
Hebu mkae mkue Kwanza maana hata balehe bado
Hata sijui kama mnakojozana
Muache akae kwao akue na wewe ukue Kwanza muda WA kuona ukifika ndo muanze mapema
Watoto wadogo acheni kukurupukia. Ndoa na mapenzi
Ila wewe mungu anakuona shukran
 
Wewe ni mzigo kwa nchi hii. Fikiria vipi taifa lingefaidika kama ungetumia muda kuandika kitu Cha maana mfano kilimo, elimu, biashara n.k..
 
Kwishaaaaah enyewee nimezingatia mkuu shukrani
 
Wewe ni mzigo kwa nchi hii. Fikiria vipi taifa lingefaidika kama ungetumia muda kuandika kitu Cha maana mfano kilimo, elimu, biashara n.k..
Nikupe mtaji mkuu hiyo BIASHARA uifanye wewe
 
Nimejaribu kadri niwezavyo kuelewa lakini kwa kweli imekuwa ngumu.

Ila kwa nilichoambulia kidogo, baba mdogo anakula mzigo wa mkeo.

Pia kumbuka, mwanamke akitishia kuondoka kila mara ujue tayari keshakuwa na plan mbadala wa wewe. Muache aende zake.
Nakazia
 
Mwanaume utaoaje ukiwa na miaka 24? Piga chini huyo mwanamke kula ujana ukifisha kuanzia miaka 30+ ndo uanze kutafuta Bikra uoe, tena tafuta kuanzia Binti wa miaka 18 hadi 23 ndo

Huo umri ulionao sasa utumie kujijenga kiuchumi
 
Ni kosa mkuu mtu mbinafsi pekee anaweza ona sio kosa. Huwezi jua alikua mazingira gani alipopata hizo taarifa,unaweza ua mtu kwa presha. Bado akapoteza muda wa watu waliokufata kujua kulikoni hapo ulimuharibia kwa watu wake wa karibu kiasi cha kupuuzwa na kuonekana mzushi.

Pia kuna vitu umeremba sana unaficha tatizo ili uonekane u msafi. Mkuu hicho unachokificha ni adui yako mkuu
Kwamba hilo ndo kosa? Na imekuwaje kosa nieleweshe
 
Wanaomuharibi ni hao ndugu zake baba mdogo na shangazi! Kama maelezo uliyotoa ndio hayo, basi huyo mwanamke ni vilw tu amekuchoka. Fanya muhamie mbali na ndugu zake na umbane kuwapigia simu ndugu zake ndiyo wanampa jeuri, akiharibikiwa atajuta badae!

Pia, uwe unampa mpa vijisenti vya matumizi binafsi, usiwe bahiri sana, wanawake wengine akili zao kama watoto, unakuta kuna muda anakuwa na hamu hata ya kununua pipi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…