Nifanye nini juu ya huyu mwanamke?

Nifanye nini juu ya huyu mwanamke?

Kuna muda ukisoma thread hapa unajiona kama unacheki bongo movie.....kuna scene humu zinafanana kwa kila mtu.

Wanajf kwenye ofisi zenu mnakuaga na vismati demu anakataa wooote anakubali mwanajf tu. Wakulungwa nyie ni kwere

Kwanini mkuu
 
Hahaha mkuu sorry una umri gani?

Ni Kawaida Sana kwa penz jipya kumzuzua yeyote kat ya wawili wapendanao kwasababu wote wanatumia kichwa Cha chini kuwaza badala ya Cha juu

Jiulize kwann mwamba mwenzio amekubali kukaa mbali je wewe utaweza?

Tujifunze kufanya uchunguz kwa wanawake wetu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Nikweli mkuu unachosema kabsa
 
Habari wakuu

Naimani wote wazima mungu anatupigania

Iko hivi Nimeletwa mkoani kikazi baada ya kufika nilipokelewa na workmate wenzangu ofisi na kazi zikaendelea.

Sasa kuna Pisi moja ya kwenda sana nimeikuta hapa tunafanya nayo kazi lakini huwa sio muongeaji kabsa ndio alivyo lakini toka nimefika hapa huyu dada ni mchapakazi sana muda mwingi yuko bize hapa ofisini lakini ni kwa muda mfupi focus yake ya kufanya kazi ilipungua sana.

Kuna kitu nilianza kujiuliza shida nini coz tunafanya kazi ofisi moja lakini nilikuwa kila wakati namfumania akiwa ananiangalia sana, ikaenda hii hali mpaka ikafika stage wafanyakazi wengine wakaligundua hilo mpaka baadhi wakikaa na mimi tukipiga stori wanaliongelea hilo jambo.

Kuna siku nikasema ngoja nijitoe akili nikamfuata kwenye meza yake nikaanza kupiga nae stori, kiukweli alifurahi sana kipindi namuacha pale nikamuomba namba akakubali akanipa

Basi tukaanza kuwasilia mdogo mdogo siku zinakwenda kuna siku nikamuomba nimtoe dinner kweli alikubali bila hata kuguna kweli na alikuja fresh lakini sasa pale ofisini wakaanza kunishangaa kuwa imekuaje kwa muda mfupi yule dada kanizoea sio mtu wa mambo mengi na huwa yuko streight na hapendagi mazoea na watu japokuwa ni mpole na yupo loyalty.

Basi mambo yakaendelea kila siku mwanamke akawa anazidi kuwa happy akiniona tu nimefika ofisi na hata nikichelewa akawa anapiga simu na kuuliza niko wapi. Basi maisha yakaenda japo watu wakawa wanashangaa sana imekuaje kwani.

Basi kuna siku tulikutana nikamtongoza japo alikuwa anaonesha sio mwepesi fulani lakini aliniambia ana changamoto tu fulani hivi ataniambia, nikakaza uzi na akakubali fresh hapo hapo na kesho yake tulivotoka ofisini akahitaji twende wote ninapoishi nikamchukua tukaenda na alijikuta tunalala mpaka kesho yake kwa kuwa siku inayofuata ilikuwa weekend.

Sasa ofisini wakawa wanazidi kushangaa imekuaje sasa bhana nikaja kupata majibu kamili kumbe huyo dada wafanyakazi wapale ofisini karibia wote wa kiume walikuwa wanamfukuzia lakini aliwachomolea wote ndio maana walikuwa wanashangaa kwangu imekuaje, bhasi maisha yakaenda .

Basi sasa kuna siku akawa hayuko sawa nikamuuliza nini shida ndio akaanza kunielezea ile changamoto kuwa ni kweli ana mwanaume lakini hawajaoana kabisa na hawajazaa na hadi kwao wanamjua na alishapeleka mpaka posa na kila kitu lakini kiukweli hawako sawa kabsa na anasema hana furaha kabisa na maisha anayoishi na jamaa na ilifikia stage kila mtu anakaa kwake mpaka now

Duuh nikamtuliza na kumuweka sawa na kumwambia asijali kila kitu kitakuwa sawa.

Sasa ninachokihitaji wakuu huyu mwanamke mimi nataka kumchukua mazima na ikiwezekana kumuoa kabisa

Sasa sielewe nifanye nini akili imestuck lakini yote kwa yote ametokea kuniamini sana huyu mwanamke

Kwani shule zinafungua lini
 
Sasa huyo si alikuwa mchumba tu? Ndio maana kanisani huwa unaulizwa fulani bin fulani unakubali kuolewa na fulani?

Ikitokea mmojawapo akakataa huwa ndoa haifungwi. Mrudishieni mchizi posa yake halafu endeleeni na utaratibu wenu.

Kionjo: Padri,Lilian Seuya
Lilian,Abee

Padri, unakubali kuolewa na Oscar
Vumilia?

Lilian; Hapana sikubali

Kanisa zima watu ahaaaaa!

Oscar na ndugeze ndukiii!!!

Nikwamba nikweli kumbe mwanamke akitolewa maali na asipoolewa bado ni mchumba sio mke
 
Habari wakuu

Naimani wote wazima mungu anatupigania

Iko hivi Nimeletwa mkoani kikazi baada ya kufika nilipokelewa na workmate wenzangu ofisi na kazi zikaendelea.

Sasa kuna Pisi moja ya kwenda sana nimeikuta hapa tunafanya nayo kazi lakini huwa sio muongeaji kabsa ndio alivyo lakini toka nimefika hapa huyu dada ni mchapakazi sana muda mwingi yuko bize hapa ofisini lakini ni kwa muda mfupi focus yake ya kufanya kazi ilipungua sana.

Kuna kitu nilianza kujiuliza shida nini coz tunafanya kazi ofisi moja lakini nilikuwa kila wakati namfumania akiwa ananiangalia sana, ikaenda hii hali mpaka ikafika stage wafanyakazi wengine wakaligundua hilo mpaka baadhi wakikaa na mimi tukipiga stori wanaliongelea hilo jambo.

Kuna siku nikasema ngoja nijitoe akili nikamfuata kwenye meza yake nikaanza kupiga nae stori, kiukweli alifurahi sana kipindi namuacha pale nikamuomba namba akakubali akanipa

Basi tukaanza kuwasilia mdogo mdogo siku zinakwenda kuna siku nikamuomba nimtoe dinner kweli alikubali bila hata kuguna kweli na alikuja fresh lakini sasa pale ofisini wakaanza kunishangaa kuwa imekuaje kwa muda mfupi yule dada kanizoea sio mtu wa mambo mengi na huwa yuko streight na hapendagi mazoea na watu japokuwa ni mpole na yupo loyalty.

Basi mambo yakaendelea kila siku mwanamke akawa anazidi kuwa happy akiniona tu nimefika ofisi na hata nikichelewa akawa anapiga simu na kuuliza niko wapi. Basi maisha yakaenda japo watu wakawa wanashangaa sana imekuaje kwani.

Basi kuna siku tulikutana nikamtongoza japo alikuwa anaonesha sio mwepesi fulani lakini aliniambia ana changamoto tu fulani hivi ataniambia, nikakaza uzi na akakubali fresh hapo hapo na kesho yake tulivotoka ofisini akahitaji twende wote ninapoishi nikamchukua tukaenda na alijikuta tunalala mpaka kesho yake kwa kuwa siku inayofuata ilikuwa weekend.

Sasa ofisini wakawa wanazidi kushangaa imekuaje sasa bhana nikaja kupata majibu kamili kumbe huyo dada wafanyakazi wapale ofisini karibia wote wa kiume walikuwa wanamfukuzia lakini aliwachomolea wote ndio maana walikuwa wanashangaa kwangu imekuaje, bhasi maisha yakaenda .

Basi sasa kuna siku akawa hayuko sawa nikamuuliza nini shida ndio akaanza kunielezea ile changamoto kuwa ni kweli ana mwanaume lakini hawajaoana kabisa na hawajazaa na hadi kwao wanamjua na alishapeleka mpaka posa na kila kitu lakini kiukweli hawako sawa kabsa na anasema hana furaha kabisa na maisha anayoishi na jamaa na ilifikia stage kila mtu anakaa kwake mpaka now

Duuh nikamtuliza na kumuweka sawa na kumwambia asijali kila kitu kitakuwa sawa.

Sasa ninachokihitaji wakuu huyu mwanamke mimi nataka kumchukua mazima na ikiwezekana kumuoa kabisa

Sasa sielewe nifanye nini akili imestuck lakini yote kwa yote ametokea kuniamini sana huyu mwanamke
Kwanza pole sana.
Nijibu maswali haya,1st hata kama.kakwambia ananmtu wake kashamtolea mahari je ww kipi kimekufanya uamini?,inafikia stage mpaka mtu kukubali kupokea mahari mmmh,
2nd anawaza kwamba atakwambia hana hela ya kumrudishia kuhusu ile mahari akakutaka ww umpe ili alipe,hilo liweke akilini.
3rd hata ww anaweza kukuacha mkipishana tu na sio kutafuta suluhisho.
Take care wajinga ndo waliwao.
 
Habari wakuu

Naimani wote wazima mungu anatupigania

Iko hivi Nimeletwa mkoani kikazi baada ya kufika nilipokelewa na workmate wenzangu ofisi na kazi zikaendelea.

Sasa kuna Pisi moja ya kwenda sana nimeikuta hapa tunafanya nayo kazi lakini huwa sio muongeaji kabsa ndio alivyo lakini toka nimefika hapa huyu dada ni mchapakazi sana muda mwingi yuko bize hapa ofisini lakini ni kwa muda mfupi focus yake ya kufanya kazi ilipungua sana.

Kuna kitu nilianza kujiuliza shida nini coz tunafanya kazi ofisi moja lakini nilikuwa kila wakati namfumania akiwa ananiangalia sana, ikaenda hii hali mpaka ikafika stage wafanyakazi wengine wakaligundua hilo mpaka baadhi wakikaa na mimi tukipiga stori wanaliongelea hilo jambo.

Kuna siku nikasema ngoja nijitoe akili nikamfuata kwenye meza yake nikaanza kupiga nae stori, kiukweli alifurahi sana kipindi namuacha pale nikamuomba namba akakubali akanipa

Basi tukaanza kuwasilia mdogo mdogo siku zinakwenda kuna siku nikamuomba nimtoe dinner kweli alikubali bila hata kuguna kweli na alikuja fresh lakini sasa pale ofisini wakaanza kunishangaa kuwa imekuaje kwa muda mfupi yule dada kanizoea sio mtu wa mambo mengi na huwa yuko streight na hapendagi mazoea na watu japokuwa ni mpole na yupo loyalty.

Basi mambo yakaendelea kila siku mwanamke akawa anazidi kuwa happy akiniona tu nimefika ofisi na hata nikichelewa akawa anapiga simu na kuuliza niko wapi. Basi maisha yakaenda japo watu wakawa wanashangaa sana imekuaje kwani.

Basi kuna siku tulikutana nikamtongoza japo alikuwa anaonesha sio mwepesi fulani lakini aliniambia ana changamoto tu fulani hivi ataniambia, nikakaza uzi na akakubali fresh hapo hapo na kesho yake tulivotoka ofisini akahitaji twende wote ninapoishi nikamchukua tukaenda na alijikuta tunalala mpaka kesho yake kwa kuwa siku inayofuata ilikuwa weekend.

Sasa ofisini wakawa wanazidi kushangaa imekuaje sasa bhana nikaja kupata majibu kamili kumbe huyo dada wafanyakazi wapale ofisini karibia wote wa kiume walikuwa wanamfukuzia lakini aliwachomolea wote ndio maana walikuwa wanashangaa kwangu imekuaje, bhasi maisha yakaenda .

Basi sasa kuna siku akawa hayuko sawa nikamuuliza nini shida ndio akaanza kunielezea ile changamoto kuwa ni kweli ana mwanaume lakini hawajaoana kabisa na hawajazaa na hadi kwao wanamjua na alishapeleka mpaka posa na kila kitu lakini kiukweli hawako sawa kabsa na anasema hana furaha kabisa na maisha anayoishi na jamaa na ilifikia stage kila mtu anakaa kwake mpaka now

Duuh nikamtuliza na kumuweka sawa na kumwambia asijali kila kitu kitakuwa sawa.

Sasa ninachokihitaji wakuu huyu mwanamke mimi nataka kumchukua mazima na ikiwezekana kumuoa kabisa

Sasa sielewe nifanye nini akili imestuck lakini yote kwa yote ametokea kuniamini sana huyu mwanamke
Ujasemasiku alivyokuja kwako ulimla au Seema Hapo Kwanza ndipo nikushauri

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
nipende kukumbusha kuwa ameshatolewa mahari hujui moment alizopitia na huyo mwamba na unaweza kuoa vizur tu ila huyo mwamba lazima akuchapie hata ingekua mm lazma nimele huyo dem.... alaf punguza kunieleza oohh wametongoza wamekataliwa cjui yuko smart [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamnaga dem smart dogo na usije ukadanganyika kwa kipimo cha kua kawakatalia wanaume ofisini jifunze
 
Mwanamke ambaye umefahamiana nae kwa muda mfupi kitu chochote anachokwambia usiamini kwa haraka mkuu hata kama umetokea kumpenda sana, chunguza ikiwezekana fanya cross examination kama zile wanazofanya kina Kibatala mahakamani. Ni mapema sana kwa muda huo mfupi kufikia hatua ya wewe kutaka ndoa mkuu. Kwenye ndoa mwanaume ndiwe unaweza ukawa winner au looser.
Mwisho tumia akili kuliko moyo.
 
Basi kuna siku tulikutana nikamtongoza
Sasa ninachokihitaji wakuu huyu mwanamke mimi nataka kumchukua mazima na ikiwezekana kumuoa kabisa

Sasa sielewe nifanye nini akili imestuck lakini yote kwa yote ametokea kuniamini sana huyu mwanamke
Kama kweli una nia ya kumchukua jumla ni swala la yeye akakutambulishe kwa wazazi wake, nawe pia fanya jitihada wazazi wako wamtambue na muanze kufuata taratibu zetu za kiafrika ili kufanikisha ndoa mapema iwezekanavyo.
 
Basi sasa kuna siku akawa hayuko sawa nikamuuliza nini shida ndio akaanza kunielezea ile changamoto kuwa ni kweli ana mwanaume lakini hawajaoana kabisa na hawajazaa na hadi kwao wanamjua na alishapeleka mpaka posa
Kutolewa kwa posa sio kizuzi, wazazi wake /au wa pande zote mbili watalimaza hilo, sio jukumu lako.

Kumbuka wapo waliokuwa wameoa kabisa kwa ndoa na mwisho wa siku ndoa huvunjiaka.
 
Nikwamba nikweli kumbe mwanamke akitolewa maali na asipoolewa bado ni mchumba sio mke
Kabisa. Anakuwa mke/mume baada ya kutamka ndiyo ninakubali tofauti na hapo lolote linaweza kutokea hata kusitisha ndoa iwapo upande mmoja haukuridhika na mwenzake.

Kipindi cha uchumba huwa ni muda wa kuchunguzana tabia na kupima iwapo utawezena na mwenzako.

Inaruhusiwa kuvunja uchumba kama umeona dosari zozote ambazo zitakuwa ni kikwazo kuishi naye.
 
Kula mzigo tuu jamaa anataka kuoa..😂😂😂
 
Back
Top Bottom