MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,759
- 71,735
Aiseeee.......
Mwisho wake unaweza kuwa upi chief ?eeeh naona alishatolewa mpaka mahariii.. mahari INARUDISHWAA MZEEE kama yupo serious ajipange akamtolee mahari ila demu awe tayari kumkana jamaa kwa wazazi wake kuwa hamtakii tenaa so mahari irudishwe japo huwaga haiishi vizuri mwisho wake
Mkosi kivip chief ?Mahari kurudishwa no mkosi no gundu ilo mzee.
Huwaga mahusiano yanayofata ya mwanamke huwa yanakuwa na misukosuko... yani shida sanaaMwisho wake unaweza kuwa upi chief ?
Hayanaga formula, Sikiliza moyo wako unakuambia nini.Habari wakuu
Naimani wote wazima mungu anatupigania
Dada tusomage tu hizi stori ukweli wana jf tunajiona class fulani la watu wenye uelewa na tupo smartKuna muda ukisoma thread hapa unajiona kama unacheki bongo movie.....kuna scene humu zinafanana kwa kila mtu.
Wanajf kwenye ofisi zenu mnakuaga na vismati demu anakataa wooote anakubali mwanajf tu. Wakulungwa nyie ni kwere
Hakuna mwanajf aliyekataliwa😂Kuna muda ukisoma thread hapa unajiona kama unacheki bongo movie.....kuna scene humu zinafanana kwa kila mtu.
Wanajf kwenye ofisi zenu mnakuaga na vismati demu anakataa wooote anakubali mwanajf tu. Wakulungwa nyie ni kwere
eeeh naona alishatolewa mpaka mahariii.. mahari INARUDISHWAA MZEEE kama yupo serious ajipange akamtolee mahari ila demu awe tayari kumkana jamaa kwa wazazi wake kuwa hamtakii tenaa so mahari irudishwe japo huwaga haiishi vizuri mwisho wake
Hilo ni shamba lenye mgogoro, huyo amejiegesha kwako kutoa stress
Umejiuliza kwann ww? Hata kma ana ugomvi na mtu wake kwann wasisuluhishe? Kwamba hata siku ikitokea mmegombana suluhisho lake atakimbia tatizo kutafuta bwana mpya?
Ushauri wangu akueleze kwa kina kuna ugomvi gani baina yake na mtu wake aliyetoa posa? Ili ujue uzito wa ugomvi, hii itakupa muongozo uendelee nae au usitishe safari
mmmh, mkuu me nikushauri kitu, Usioe kwa kukurupuka hat kama demu anakuonyesha kukupenda kwa kiasi gani utakuja kuleta uzi wa kulia hapa,
mwanamke sio wa kushitukiza labda muwe mmedumu kwenye mahusiano kwa mda wa miaka zaidi ya 2, yaani ulisha jiridhisha kuwa madhaifu yake unayamudu naye madhaifu yako anayamudu,
Huyo anaogojwa na pepo la tamaa kama ilivyo kwa wanaume tukiona mwanamke mwenye tako ila mweusi tutashoboka na kumwacha kimvao mbao
harafu akitokea mwenye tako harafu mweupe utamuona huyu mweusi hafai,
Ndoa huwa ni urafiki, yaani kuishi na mwanamke na kumchukuria kama rafiki yako, ushawahi kuwa na msela wako ukitoka kugonga demu hata kama umepiga show mbovu basi utamsimlia,
basi hata ndoa ni hivo hivo, chukua nafasi ya kujivuruga kwake jifanye kumpenda mdada hapo ofisini uone huyo unayemuita wife material atachukua uamzi gani
akiendelea kukupenda basi huyo chukua fasi tena uniite niwe mshenga.
Kwa hiyo kila kinachoendelea ofisini wanajua hadi ukimlala wanajua, sio ustarabu