Nifanye nini jamani

Nifanye nini jamani

Wewe acha ujinga chukua mzigo huo...amekupa kama fidia ya kukupotezea muda wako....nahis jamaa alikuwa anakupenda saaaan ndo maan ameamua akufanyie kitu hicho na ameona alikupotezea muda ktk uhusiano wenu hvyo amekuoa hyo hela kama ukumbusho wake ktk uhusiano wenu
 
Wewe tumia pesa hiyo ikusaidie huyo achana naye kama uitaki hiyo pesa.Nenda jukwaa la biashara kadonate kwa watu wanaohitaji mitaji na hawana pesa.

Huyo si wako tena hiyo ametoa kama zawadi tu kwako

asante kwa ushauli
 
Mwanaume/Mwanamke akiugusa moyo wako kwa namna ambayo haujawahi kuguswa na mtu mwingine hapa duniani ukitaka kumtafuta katika dunia hii ya leo utampata tu. Hizo pesa umeambiwa ni zawadi kwa kumbukumbu yako kwake hujaiba au kumdhulumu yoyote, mshukuru kwa msaada wake kisha ufanye yale uyatakayo kwenye maisha yako kwa kutumia hizo pesa.

Inaumiza sana kupendana na mtu kiasi hicho halafu Wazazi/ndugu ndio wanakuwa chanzo cha kuvunja penzi lenu, baadhi hugoma na kuendelea na penzi lao na hili huweza kuzua tafrani kubwa sana katika familia ya mke au mume na wapendanao pia.

asante kwa ushauli
 
Pesa hazina tatizo, tumia tu, kama anataka kuwasiluana na wewe atafanya hivyo hata kama utazirudisha hizo pesa....
labda tu kama hizo pesa zinahatarisha mahusiano yako mapya.... Vinginevyo zitumie tu.

asante kwa ushauli
 
Nimekupenda bure mdada kawa tabia yako ya ku-question utumiwaji wa hiyo hela. Kwa ulimwengu wa sasa na type ya wanawake tulionao, asilimia kubwa wangechukua tu na kuendelea without questioning anything. Nimependa pia kuwa umemshirikisha mama yako.

Kwa upande wangu, sioni kama kuna tatizo endapo tu jamaa alidhamiria kutoa kama kumbukumbu na uthamini wa upendo wako kwake na pia anaijua hali ya maisha ya kwenu na nadhani hicho ndicho kilichompelekea kukupa hizo fedha akihisi kwamba zitakusaidia in one way or another.

Ili uwe katika safe side, fanya yafuatayo
1: Mtumie msg kumjulisha kuwa umeupata ujumbe wako na unashukuru sana, ile je dhamira iliyokusukuma hasa kunitumia hela ni ipi?
2: Akishakwambia dhamira yake, mueleze kwamba nia yangu mimi ni kukurudishia hizi hela kwa sababu sitapenda kujihusihusisha nawe kwa mawasiliano ya aina yoyote coz wewe ni mume wa mtu kwa sasa na hii hela inaweza kusaidia mengi kwa familia yako. Sikilizia jibu lake
3: Akisisitiza uchukue, mwambie tu if you insist nashukururu ila naomba isiwe sababu ya sisi kurudisha mawasiliano au uhusiano kati yetu. I will keep the money and if that happens, i will give your money back.

Baada ya hapo, tafuta kitu cha kufanya ili kuizungusha hiyo hela izalishe huku ukihakikisha kuwa hiyo 4m inabaki kama capital ili siku akikuzingua unamrudishia mwenyewe.
 
Wewe acha ujinga chukua mzigo huo...amekupa kama fidia ya kukupotezea muda wako....nahis jamaa alikuwa anakupenda saaaan ndo maan ameamua akufanyie kitu hicho na ameona alikupotezea muda ktk uhusiano wenu hvyo amekuoa hyo hela kama ukumbusho wake ktk uhusiano wenu

asante kwa ushauli
 
Asante sana kwa ushauli wako nitafanya hivyo@jichopevu
 
Ushauri mzuri!

Mwanaume/Mwanamke akiugusa moyo wako kwa namna ambayo haujawahi kuguswa na mtu mwingine hapa duniani ukitaka kumtafuta katika dunia hii ya leo utampata tu. Hizo pesa umeambiwa ni zawadi kwa kumbukumbu yako kwake hujaiba au kumdhulumu yoyote, mshukuru kwa msaada wake kisha ufanye yale uyatakayo kwenye maisha yako kwa kutumia hizo pesa.

Inaumiza sana kupendana na mtu kiasi hicho halafu Wazazi/ndugu ndio wanakuwa chanzo cha kuvunja penzi lenu, baadhi hugoma na kuendelea na penzi lao na hili huweza kuzua tafrani kubwa sana katika familia ya mke au mume na wapendanao pia.
 
Ni mwaka na miezi 2 imepita sasa tangia niachane na ex huyu kiukweli tulipendana sana tuliachana coz wazazi wake walimchaguli mke wa kumuoa coz aliwaheshimu sana wazazi wake hakutaka kupingana nao alifanya vile walivyotaka na huo ndo ulikuwa mwisho we2 kiukweli alitoka kwenye familia yenye uwezo na alikuwa mfanya biashara tofauti na mimi familia yangu ya kawaida 2.

Baada ya yeye kuoa nilikata kabisa mawasiliano naye lakini jana asubuhi nilipokea sms kutoka kwake aliandika hivi(wewe ni mwanake wa pekee kwangu kamwe sitokuja kukusahau pokea pesa izo nimekuingiazia kwenye account yako kiasi cha sh.milioni 4 naomba nikupatia zawadi hiyo kama kumbukumbu yako kwangu tarehe 13 mimi na mke wangu tunaamia Italy kwa heri na kubaki salama) nimebaki njia panda nifanye nini naogopa kuzitumia hizi pesa nimemshilikisha mama yangu kanishauri nizirudishe nahitaji mawazo yenu nifanye nini nimrudishie pesa zake coz now kiuchumi najiweza na sihitaji kabisa mawasiliano naye na naogopa pesa hizi isije ikawa chanzo cha mimi na yeye kuwasiliana.

tumia mpunga huo...
 
Ni mwaka na miezi 2 imepita sasa tangia niachane na ex huyu kiukweli tulipendana sana tuliachana coz wazazi wake walimchaguli mke wa kumuoa coz aliwaheshimu sana wazazi wake hakutaka kupingana nao alifanya vile walivyotaka na huo ndo ulikuwa mwisho we2 kiukweli alitoka kwenye familia yenye uwezo na alikuwa mfanya biashara tofauti na mimi familia yangu ya kawaida 2.

Baada ya yeye kuoa nilikata kabisa mawasiliano naye lakini jana asubuhi nilipokea sms kutoka kwake aliandika hivi(wewe ni mwanake wa pekee kwangu kamwe sitokuja kukusahau pokea pesa izo nimekuingiazia kwenye account yako kiasi cha sh.milioni 4 naomba nikupatia zawadi hiyo kama kumbukumbu yako kwangu tarehe 13 mimi na mke wangu tunaamia Italy kwa heri na kubaki salama) nimebaki njia panda nifanye nini naogopa kuzitumia hizi pesa nimemshilikisha mama yangu kanishauri nizirudishe nahitaji mawazo yenu nifanye nini nimrudishie pesa zake coz now kiuchumi najiweza na sihitaji kabisa mawasiliano naye na naogopa pesa hizi isije ikawa chanzo cha mimi na yeye kuwasiliana.

:gossip: Naku niku PM account no. yangu nipe mimi, usimwambie mtu lakini'
 
Pesa Tumia Tena Kwaroho Nyeupe, Mawasiliano Sivibaya Ila Angalia Asikufanye Mchepuko, Wasiliana Nae Kama Ndugu Naavoid Love Relation Tena Usijeendelea Kuumia Bure Mpendwa
 
Back
Top Bottom