nami nilitaka kusema hii mtoa mada inaonyesha ni id pacha ya karucee
Use your head. Nikisema nimekata mawasiliano it means upande wangu. Seemingly the dude still kept her number
Ni mwaka na miezi 2
imepita sasa tangia niachane na ex huyu kiukweli tulipendana sana
tuliachana coz wazazi wake walimchaguli mke wa kumuoa coz aliwaheshimu
sana wazazi wake hakutaka kupingana nao alifanya vile walivyotaka na huo
ndo ulikuwa mwisho we2 kiukweli alitoka kwenye familia yenye uwezo na
alikuwa mfanya biashara tofauti na mimi familia yangu ya kawaida 2.
Baada ya yeye kuoa nilikata kabisa mawasiliano naye lakini jana asubuhi
nilipokea sms kutoka kwake aliandika hivi(wewe ni mwanake wa pekee
kwangu kamwe sitokuja kukusahau pokea pesa izo nimekuingiazia kwenye
account yako kiasi cha sh.milioni 4 naomba nikupatia zawadi hiyo kama
kumbukumbu yako kwangu tarehe 13 mimi na mke wangu tunaamia Italy kwa
heri na kubaki salama) nimebaki njia panda nifanye nini naogopa
kuzitumia hizi pesa nimemshilikisha mama yangu kanishauri nizirudishe
nahitaji mawazo yenu nifanye nini nimrudishie pesa zake coz now kiuchumi
najiweza na sihitaji kabisa mawasiliano naye na naogopa pesa hizi isije
ikawa chanzo cha mimi na yeye kuwasiliana.
Ni mwaka na miezi 2
imepita sasa tangia niachane na ex huyu kiukweli tulipendana sana
tuliachana coz wazazi wake walimchaguli mke wa kumuoa coz aliwaheshimu
sana wazazi wake hakutaka kupingana nao alifanya vile walivyotaka na huo
ndo ulikuwa mwisho we2 kiukweli alitoka kwenye familia yenye uwezo na
alikuwa mfanya biashara tofauti na mimi familia yangu ya kawaida 2.
Baada ya yeye kuoa nilikata kabisa mawasiliano naye lakini jana asubuhi
nilipokea sms kutoka kwake aliandika hivi(wewe ni mwanake wa pekee
kwangu kamwe sitokuja kukusahau pokea pesa izo nimekuingiazia kwenye
account yako kiasi cha sh.milioni 4 naomba nikupatia zawadi hiyo kama
kumbukumbu yako kwangu tarehe 13 mimi na mke wangu tunaamia Italy kwa
heri na kubaki salama) nimebaki njia panda nifanye nini naogopa
kuzitumia hizi pesa nimemshilikisha mama yangu kanishauri nizirudishe
nahitaji mawazo yenu nifanye nini nimrudishie pesa zake coz now kiuchumi
najiweza na sihitaji kabisa mawasiliano naye na naogopa pesa hizi isije
ikawa chanzo cha mimi na yeye kuwasiliana.
Nikajua n.wewe
Na wewe pia unanijua eeeeeh? Haya hongera.
nikujue kivipi??????
Nikuulize wewe.
kujuana na wangapi is your private business.Rudia maelezo yangu nilikuambia hivi nilifikir ni wewe nikijua kua aliepost hiyo mada n.wewe nikjue kwa kipi ntajuana na wangapi sasa ebo!!
Sina mume wala mchumba asante kwa ushauli