Oldaganje,mwambie we ushamaliza ugomvi na mkeo na anarudi anytime mje mlee watoto we nu,mwambie kuwa unawapenda sana wanao na hupendi wateseke na ndio sbb hata yule uliyemzalisha yeye uliamua kumgomboa sbb una uchungu na damu yako.
Mwambie pia hupendi kujiingiza kwenye ugomvi na mumewe bila SBB ya msingi hivyo ni bora aende alikokuwa akiishi kabla ya kukutana na mumewe.
Pia mwambie kama akiona VP akashitaki ukweni au kwenye vyombo vya dola akaombe talaka kabisa aanze upya maisha.
Ki ufupi mfukuze na umpe ukweli Kuwa kisheria ye ni mke wa MTU ,na hakuna ndoa isiyo na migongano watu wanavumilia na kugombana maisha yanaendelea,wachungaji kwa maimamu wanagombana na wake zao sembuse yeye!!fukuza mwambie na wewe una matatizo yako unahitaji nafasi umrudishe mkeo!