X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,708
- 14,810
Lazima uaibike. Hata sisi wenzako kipindi tunaanza tuliaibika Kisha tukawa mamaster... Kuaibika hakukwepeki kwenye jambo lolote geniiHabari kaka zangu mimi mdogo wenu kwa kipindi kirefu nimekuwa Single na pia nimekuwa kwenye uhusiano na mtu kwa kipindi kirefu ila sijawahi kufanya tendo nae hata mara moja
Kiufupi sijawahi kufanya tendo kabisa sasa hivi karibuni narajia kufanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mpenz wangu Tangu nizaliwe naombeni mbinu nifanyeje ili nisiaibike? Pia nizingatie vitu gani kabla na baada ya tendo?
Miaka tangu 25