NIFANYAJE NISIAIBIKE?

NIFANYAJE NISIAIBIKE?

Habari kaka zangu mimi mdogo wenu kwa kipindi kirefu nimekuwa Single na pia nimekuwa kwenye uhusiano na mtu kwa kipindi kirefu ila sijawahi kufanya tendo nae hata mara moja
Kiufupi sijawahi kufanya tendo kabisa sasa hivi karibuni narajia kufanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mpenz wangu Tangu nizaliwe naombeni mbinu nifanyeje ili nisiaibike? Pia nizingatie vitu gani kabla na baada ya tendo?
Miaka tangu 25
Mzee miaka 25 hujawahi gusa mali?
Ulikuwa jela?
 
Habari kaka zangu mimi mdogo wenu kwa kipindi kirefu nimekuwa Single na pia nimekuwa kwenye uhusiano na mtu kwa kipindi kirefu ila sijawahi kufanya tendo nae hata mara moja
Kiufupi sijawahi kufanya tendo kabisa sasa hivi karibuni narajia kufanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mpenz wangu Tangu nizaliwe naombeni mbinu nifanyeje ili nisiaibike? Pia nizingatie vitu gani kabla na baada ya tendo?
Miaka tangu 25
Huyu ni mhuni mmoja mzuri tu soma vizuri andiko lake alafu tumia akili ya ziada
 
Hiyo formula unayoambiwa ya kumwaga kwanza kabla ya kwenda kwenye show ndio mbaya sana sijui nani kawadanganya ?

Utaenda kuaibika ndugu.. raha ya kufanya mapenzi ni upige bao zito.. moja ya assessment ya hawa wanawake ni kuangalia uzito na ubora wa bao. Ukienda kutoa maji maji (Maana Bao la kwanza ushalitoa) unaenda kuaibika.

Mbili, hamu unaipunguza.. unaweza hata usidinde au hata usiwe na power ya kuforce game kama manzi analeta zile pigo za STAKI-NATAKA.

Tatu, utauchosha mwili mapema bila sababu unajua lile bao ukilitoa unauweka mwili ktk hibernation...

Piga miti unganisha mabao, shuka kwenye bao la 3 au ukishindwa la 2.
 
piga nje kimoja, ili ukiingia dimbani iwe 1-0
utachelewa sana kumwaga
Nyeto sitaki tena
Hiyo formula unayoambiwa ya kumwaga kwanza kabla ya kwenda kwenye show ndio mbaya sana sijui nani kawadanganya ?

Utaenda kuaibika ndugu.. raha ya kufanya mapenzi ni upige bao zito.. moja ya assessment ya hawa wanawake ni kuangalia uzito na ubora wa bao. Ukienda kutoa maji maji (Maana Bao la kwanza ushalitoa) unaenda kuaibika.

Mbili, hamu unaipunguza.. unaweza hata usidinde au hata usiwe na power ya kuforce game kama manzi analeta zile pigo za STAKI-NATAKA.

Tatu, utauchosha mwili mapema bila sababu unajua lile bao ukilitoa unauweka mwili ktk hibernation...

Piga miti unganisha mabao, shuka kwenye bao la 3 au ukishindwa la 2.
Ahsante sana kwa ushauri mzuri kaka ubarikiwe
 
Hiyo formula unayoambiwa ya kumwaga kwanza kabla ya kwenda kwenye show ndio mbaya sana sijui nani kawadanganya ?

Utaenda kuaibika ndugu.. raha ya kufanya mapenzi ni upige bao zito.. moja ya assessment ya hawa wanawake ni kuangalia uzito na ubora wa bao. Ukienda kutoa maji maji (Maana Bao la kwanza ushalitoa) unaenda kuaibika.

Mbili, hamu unaipunguza.. unaweza hata usidinde au hata usiwe na power ya kuforce game kama manzi analeta zile pigo za STAKI-NATAKA.

Tatu, utauchosha mwili mapema bila sababu unajua lile bao ukilitoa unauweka mwili ktk hibernation...

Piga miti unganisha mabao, shuka kwenye bao la 3 au ukishindwa la 2.
Mi nina mshkaji wangu mmoja huwa anakula nyeto moja kabla ya game na anasema inamsaidia sana.

Tumetofuatiana🤣
 
Back
Top Bottom