Mesorphine
Member
- Oct 11, 2020
- 52
- 32
Hello wanajamii forum, mimi ni kijana wa kiume kweny 20s age, Nina changamoto ya kupata chunusi baada ya kupunguza masharubu wakat mwingne yanakua magumu na kufanya upande mmoja wa shavu kuwa mweusi na madoa mengi wakt upande mwingne n mweupe kawaida.
Nilikua naomba mwenye kufahamu mafuta yanayoweza nitoa huu weusi kwanza pamoja na izi dark spot usoni huenda nikapunguza haya madhara baada ya kunyoa.
Njia nilizotumia Hadi Sasa
1. Kutumia After shave baada ya kunyoa
2. Kubadili mafuta kutoka Rinju Hadi 3 days
3. Kununua machine ya kujinyolea mwenywe (CHY- 6558 ila kwa Sasa natumia Vintage T9)
Ahsanten
Nilikua naomba mwenye kufahamu mafuta yanayoweza nitoa huu weusi kwanza pamoja na izi dark spot usoni huenda nikapunguza haya madhara baada ya kunyoa.
Njia nilizotumia Hadi Sasa
1. Kutumia After shave baada ya kunyoa
2. Kubadili mafuta kutoka Rinju Hadi 3 days
3. Kununua machine ya kujinyolea mwenywe (CHY- 6558 ila kwa Sasa natumia Vintage T9)
Ahsanten