hujaeleweka mkuu....inamaana hiyo pc yako kila inapowaka inaingia kwenye safe mode yenyewe au wewe ndo unaipeleka safe mode inapowaka??
hujaeleweka mkuu....inamaana hiyo pc yako kila inapowaka inaingia kwenye safe mode yenyewe au wewe ndo unaipeleka safe mode inapowaka??
Nenda: Start-Run-type msconfig-Boot- halafu ondoa mark kwenye safe mode
Manyanza, ikiwa inawaka katika MANUFACTURING DIAGNOSTICS MODE naibadilishaje?
fafanua vizuri huo mfumo unayosema safemode ni ya windows au bios?
machine inapowaka huonyesha maelekezo ya namna ya kuingia kwa setup mfaano dell hupenda kutumia zaidi F2 hivyo nakushauri kuingia kwa bios setup then uchague fast boot pia nenda kwa undani zaidi ila ukijua unachofanya ku-skip hizo diagnostic process while booting
...this is an answer:
machine inapowaka huonyesha maelekezo ya namna ya kuingia kwa setup mfaano dell hupenda kutumia zaidi F2 hivyo nakushauri kuingia kwa bios setup then uchague fast boot pia nenda kwa undani zaidi ila ukijua unachofanya ku-skip hizo diagnostic process while booting