Nenda south..
Fikia cape town 7bu miji mingine sifahamu mizunguko yake sijawahi iishi...
Kaa mbali na wabongo na wanaijeria(wapopo)......
Fikia hoteli zilizopo biavo...
Ila kama mfuko ni mnene nenda watarfront kunasehem za wanene zaid za kulala.....
Usiende kwenye vitaven vya biavo ila kale bata cape mjini....
Ukiwa airport tax drivers niwaamibivu watakutafutia sehem nzur ya kulala......
Kama utakua na peas chache tumia usafiri wa basi ambayo kihalali inagharimu rand 2000 hadi kua cape....
Ambayo utachukua bus apa Tz mpka Harare kiasi cha 1500000...randi 1000 na kutoka pale ni 900/100 to cape.....
Ukitumia usafir wa chin company ya intercape na greyhound hawatakupokea 7bu ya passport yenye jina Tanzania mnasifa ya kubeba madawa....
Safari njema
Nipo my dia, twende wote basi camera ninayo
Swala la ubaguzi siyo sehem zote za r.s.a...ubaguz upo sana location ambako hakuna mchanganyiko mkubwa wa watu.sehem za mijin ni ngum sana kusikia ubaguz sabab robotatu ya wakaz ni wageni.
Nenda Mauritius. Na kama hujaoa hata mchumba waweza opoa huko.
Sisemi zaidi. Ila ni watu wakarimu MNO!
Mkuu upo msumbiji? VP unaweza kuwa mwenyeji wangu nikipita hapo?
Nenda south..
Fikia cape town 7bu miji mingine sifahamu mizunguko yake sijawahi iishi...
Kaa mbali na wabongo na wanaijeria(wapopo)......
Fikia hoteli zilizopo biavo...
Ila kama mfuko ni mnene nenda watarfront kunasehem za wanene zaid za kulala.....
Usiende kwenye vitaven vya biavo ila kale bata cape mjini....
Ukiwa airport tax drivers niwaamibivu watakutafutia sehem nzur ya kulala......
Kama utakua na peas chache tumia usafiri wa basi ambayo kihalali inagharimu rand 2000 hadi kua cape....
Ambayo utachukua bus apa Tz mpka Harare kiasi cha 1500000...randi 1000 na kutoka pale ni 900/100 to cape.....
Ukitumia usafir wa chin company ya intercape na greyhound hawatakupokea 7bu ya passport yenye jina Tanzania mnasifa ya kubeba madawa....
Safari njema
Kumbuka huko kuna wamakonde, usije kutulaumu humu:
Nenda Pemba
Hahahaa haya njoo PM mama....niko serious
Nenda Pemba
Hapa hapa bana.........wewe tupange..........tunaweza pata company nyingine kubwa........baada ya uchaguzi watu watapenda kula bata baada ya huu mtitimtiti............
Naja mpendwa, oooh asavali na mie nkashangae wazungu
Acha uongo.nauli za lin hizi??
-Dar mpaka h/re ni 80000tsh
-H/re jo'berg ni 250/300.sa rand ambayo ni kama 50000tsh
-jo'berg mpaka cape ni 600rand ka intercape hzo ni bus za luxually.pia kuna bus mpaka za 400