Kaisari
JF-Expert Member
- Nov 13, 2012
- 3,637
- 3,035
Inawezekanaje mtu akuteke akae na wewe siku kadhaa. halafu anakupeleka mahali anakuachia na silaha ambazo zana zake za kazi Kisha aende zake hivi hivi tuu ???
Anakuachia usafiri, anakuachia silaha anaenda zake.
Hivi anapoacha silaha inamaana hiyo kazi kastaafu au ?????
Hivi amekuachia usafiri na kuendesha unajuwa kwanini usiendeshe mwenyewe kwenda nyumbani. Kuna nini mpaka uite watu wakufate.
Kila nikiwaza sielewi hebu nielewesheni.
Anakuachia usafiri, anakuachia silaha anaenda zake.
Hivi anapoacha silaha inamaana hiyo kazi kastaafu au ?????
Hivi amekuachia usafiri na kuendesha unajuwa kwanini usiendeshe mwenyewe kwenda nyumbani. Kuna nini mpaka uite watu wakufate.
Kila nikiwaza sielewi hebu nielewesheni.