Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
Heshima na iwe kwako mwanajamiiforums, naomba unipe mawili matatu kuhusu huduma hii ya Bixby inayopatikana kwenye baadhi ya simu za Samsung maana ninayo kwenye simu yangu ila sijui matumizi yake.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app