Nidhamu ya watangazaji wa Clouds Media

Nidhamu ya watangazaji wa Clouds Media

Tareeq

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2010
Posts
828
Reaction score
408
Hivi ni kweli akina Shaffi Dauda na watangazaji wenziwe hawawezi kumpa KHESHIMA yake Alhadji ISMAIL ADEN RAGE japo ya kumpa salaam inayomstahili ya SHIKAMOO Ati. Habari gani Ragge hebu tuambie sheria inasemaje. Mchezo ukivunjika. Pasipo hata kumpa salaa kama kaka yao au baba
Inasikitisha sana
 
Hivi ni kweli akina Shaffi Dauda na watangazaji wenziwe hawawezi kumpa KHESHIMA yake Alhadji ISMAIL ADEN RAGE japo ya kumpa salaam inayomstahili ya SHIKAMOO Ati. Habari gani Ragge hebu tuambie sheria inasemaje. Mchezo ukivunjika. Pasipo hata kumpa salaa kama kaka yao au baba
Inasikitisha sana

Acha Uwongo na kutaka kuwatafutia Chuki hao Watangazaji kwa Wasikilizaji wao. Ukweli ni kwamba hata Mimi mwenyewe niliisikia ile ' interview ' yao na Mzee Rage na hata ikirudiwa kokote pale utamsikia Shaffi Dauda ameanza kumkaribisha Mzee Rage na akamuamkia kabisa Shikamoo ndipo na Mtangazaji mwenzake nae Alex Luambano akamsalimia hivyo hivyo Shikamoo. Kwa hili nitawatetea hadi Kaburini kwani nimeshuhudia kwa Kusikia kwa masikio yangu mwenyewe labda Wewe ulikuwa ' busy ' tu na mambo yako mengine ya Kifamilia.
 
Acha Uwongo na kutaka kuwatafutia Chuki hao Watangazaji kwa Wasikilizaji wao. Ukweli ni kwamba hata Mimi mwenyewe niliisikia ile ' interview ' yao na Mzee Rage na hata ikirudiwa kokote pale utamsikia Shaffi Dauda ameanza kumkaribisha Mzee Rage na akamuamkia kabisa Shikamoo ndipo na Mtangazaji mwenzake nae Alex Luambano akamsalimia hivyo hivyo Shikamoo. Kwa hili nitawatetea hadi Kaburini kwani nimeshuhudia kwa Kusikia kwa masikio yangu mwenyewe labda Wewe ulikuwa ' busy ' tu na mambo yako mengine ya Kifamilia.
Povu la nini wala uongo hauwi sabuni ikatakasa ukweli. Isiwe kesi kipindi kipo na iwapo kosa basi Gentamycin kama ilivyo dawa ya sindano , katu haiwi Syrup ikachomwa mwilini Lwambano ndiye aliyesema huyu hapa Rage na kumwmbia hayo , kama alimsalimu Alhaj , basi sikio lako lahitaji dawa Streptomycin
 
Hivi ni kweli akina Shaffi Dauda na watangazaji wenziwe hawawezi kumpa KHESHIMA yake Alhadji ISMAIL ADEN RAGE japo ya kumpa salaam inayomstahili ya SHIKAMOO Ati. Habari gani Ragge hebu tuambie sheria inasemaje. Mchezo ukivunjika. Pasipo hata kumpa salaa kama kaka yao au baba
Inasikitisha sana
Ww jamaa utakuwa mkoloni sana, huko unapoishi nahisi unapenda sana kunyenyekewa, kutoa shikamoo au kutotoa inategenea na jinsi mnavyoishi , Rage ni MTU wa kujichanganya sana na watu alafu ni kama msela flani hivi....
 
Ww jamaa utakuwa mkoloni sana, huko unapoishi nahisi unapenda sana kunyenyekewa, kutoa shikamoo au kutotoa inategenea na jinsi mnavyoishi , Rage ni MTU wa kujichanganya sana na watu alafu ni kama msela flani hivi....
Marco Polo kwa kusema hivyo tu naona ni hulka gani uliyonayo mathalan kama ni mlegeza suruali then ubadilike kheshima si ukoloni ni UADILIFU ,tuwape kheshima wakubwa wetu inakuathiri nini. Rage ni mtu wa kujichanganya je alikataa kuheshimiwa ? Hawa wtangazaji wakijirekebisha ni kipi watapungukiwa .Mathalani siku wakihoji story ya marehemu Mabeta Arthur walimuhoji Alhj Rage na kwa mtindo ule ule No repectifull salaamu Ati Oya Mzee Rage uko live hapa na XXL kweli no vijana
 
Mambo mengine muwe mnawafuata hukohuko kwenye walls zao na kuwaambia.
 
Povu la nini wala uongo hauwi sabuni ikatakasa ukweli. Isiwe kesi kipindi kipo na iwapo kosa basi Gentamycin kama ilivyo dawa ya sindano , katu haiwi Syrup ikachomwa mwilini Lwambano ndiye aliyesema huyu hapa Rage na kumwmbia hayo , kama alimsalimu Alhaj , basi sikio lako lahitaji dawa Streptomycin

Foolish.
 
Hivi ni kweli akina Shaffi Dauda na watangazaji wenziwe hawawezi kumpa KHESHIMA yake Alhadji ISMAIL ADEN RAGE japo ya kumpa salaam inayomstahili ya SHIKAMOO Ati. Habari gani Ragge hebu tuambie sheria inasemaje. Mchezo ukivunjika. Pasipo hata kumpa salaa kama kaka yao au baba
Inasikitisha sana
Unatoa maoni wakati hata chumba cha habari hukijui
Yaani waanze na shikamoo alhaj ismail aden rage!
 
Hivi ni kweli akina Shaffi Dauda na watangazaji wenziwe hawawezi kumpa KHESHIMA yake Alhadji ISMAIL ADEN RAGE japo ya kumpa salaam inayomstahili ya SHIKAMOO Ati. Habari gani Ragge hebu tuambie sheria inasemaje. Mchezo ukivunjika. Pasipo hata kumpa salaa kama kaka yao au baba
Inasikitisha sana
Shikamoo ndugu mgeni rasmi
 
Tatizo la wavaa suruali mlegezo. Ni hilo UTOVU WA NIDHAMU SASA MNATOKOTA hivi ukiwa dar ndo nini? Ushamba ni taabu kwa hiyo ukiwa Dar. Adabu yako ni hiyo HUO NI ULOMBUKENI
 
Ethics the journalists haziruhusu kumwamkia mtu shikamoo kwenye interview
 
Back
Top Bottom